Mkoani 45,000/= @cartonKwenye carton zinakaa pcs ngapi? Mkoani wanauzaje Kama dar ni 39,000/=?
Carton zinakaa rim ngapiMkoani 45,000/= @carton
Ream huwa zinakaa Tano siyo kumiNimegugo naona ni 10 pcs.
Kwa hiyo kama ni 39,000 bas pc 1 ni
Na kama ni 30,000 bas pc moja ni 3000.
Mikoani sio chini ya Tshs elfu 7 per pc
Yanapiga hela haya majamaa
Tano tu.Carton zinakaa rim ngapi
Boss ama umeamua kwa makusudi kupotosha au ulinunua zamani sana hiyo Double A uliyoweka picha yake Duka zote ikiwepo na hapo ulipotaja wanauza 50,000 na kuendelea
Google imekupoteza nduguNimegugo naona ni 10 pcs.
Kwa hiyo kama ni 39,000 bas pc 1 ni
Na kama ni 30,000 bas pc moja ni 3000.
Mikoani sio chini ya Tshs elfu 7 per pc
Yanapiga hela haya majamaa
Hmm pcs 10 hapana ni pcs 5 tuNimegugo naona ni 10 pcs.
Kwa hiyo kama ni 39,000 bas pc 1 ni
Na kama ni 30,000 bas pc moja ni 3000.
Mikoani sio chini ya Tshs elfu 7 per pc
Yanapiga hela haya majamaa
CarbonizeNatafuta connection ya mtu wa kununua karatasi aina yoyote kutoka China.
Carbonize
Kwenye carton ni 5 five PC's,huku mkoani ni sh 38,000-40,000,hiyo 39,000 ni kwa ream za double A ambazo zinaaminika kuwa na ubora,huku kwetu mkoani double A carton ni sh 45,000-55,000Kwenye carton zinakaa pcs ngapi? Mkoani wanauzaje Kama dar ni 39,000/=?
Mkuu naona zimepanda sana reaKwa 30,000/= vp Mkuu, nahitaji mzigo wa kutosha!
Kweli mkuu jana nilikua na wadau wakubwa wa long time wa hizo biashara town wanachapisha vitabu,,Boss ama umeamua kwa makusudi kupotosha au ulinunua zamani sana hiyo Double A uliyoweka picha yake Duka zote ikiwepo na hapo ulipotaja wanauza 50,000 na kuendelea
Ream Paper saiz zinazidi kupanda hata hiyo bei ya 39,000 hajakupiga ni bei poa saiz bei ni 38,000 hadi 42,000 kwa karatasi aina nyingine isipokuwa Double A.!
Hiyo 38 ndo double A au zile za kawaida?Mkuu naona zimepanda sana rea
Kweli mkuu jana nilikua na wadau wakubwa wa long time wa hizo biashara town wanachapisha vitabu,,
Walikua wanalalamika ream zmepanda sana wao nakujua maduka kote ila wananua kwa 38 ssaiv
Inategemea na karatasi, kuna zingine katoni moja zingine kuanzia 10 kama hizo ream paper.Kwa wajuzi, natakiwa kuwa na mtaji wa kuanzia carton ngapi ili niagizie mzigo toka China?
Duh! Carton 10 unaweza kuagizia toka China? Au sijakuelewa?Inategemea na karatasi, kuna zingine katoni moja zingine kuanzia 10 kama hizo ream paper.
Ndio hata moja mzee.Duh! Carton 10 unaweza kuagizia toka China? Au sijakuelewa?