southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
unempa chimbo gumu na la bei ya juu.kwel dubai wanakata na ukienda unachagua ila bei sasa.bora japan kama.una hela unaend dampo wanakupa ndinga na kila rChimbo ni Dubai tena watu wanachukua mtumba kabisa , pale kariakoo wafanyabiashara ni wabinafsi labda uanze kununua taratibu kwao huku unachora ramani za kukuza biashara yako .
Mtafute DICK SOUND pale magomeni anajua machimbo kama yote .