Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba connection ya chimbo la vifaa vya umeme kwa bei ya jumla kariakoo. Nataka kufungua duka huku mkoani. Shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika walau bidhaa chache unazotaka nione. Unatakiwa uende mtaa wa gogo na mchikichi au tafuta Instagram kuna jamaa wanajiita kariakoo hardwareKama kichwa kinavyojieleza, naomba connection ya chimbo la vifaa vya umeme kwa bei ya jumla kariakoo. Nataka kufungua duka huku mkoani. Shukrani
Vifaa kama wire, sockets, bulbs,n .kAndika walau bidhaa chache unazotaka nione. Unatakiwa uende mtaa wa gogo na mchikichi au tafuta Instagram kuna jamaa wanajiita kariakoo hardware
KampuniVifaa kama wire, sockets, bulbs,n .k
Shukrani mkuuKampuni
AfricaB ukiwasiliana nao wanakuletea mpaka ulipo Kariakoo wako gogo na Narungombe
Tronic na wengne pale mtaa wa gogo uhakika.
Amemaliza kila kitu mdau ushindwe mwenyewe.Shukrani mkuu
kalaga baho itabidi tutafutane kamanda nakufwatilia sana nahitaji madini naona umeja ,madini ya machimbo kaka.Kampuni
AfricaB ukiwasiliana nao wanakuletea mpaka ulipo Kariakoo wako gogo na Narungombe
Tronic na wengne pale mtaa wa gogo uhakika.
Kiasi sana mana haya mambo niliyaacha muda mrefu nimeyarudia kipindi hiki tu.kalaga baho itabidi tutafutane kamanda nakufwatilia sana nahitaji madini naona umeja ,madini ya machimbo kaka.
mwenyewe nlikuwa narung'ombe kwenye simpo 2022 kuna hali nlipitia nataka kurudia hizo harakati kwa sasa najitafuta mkuu. Hao kina exellent, meru, maua,C1,yaung fey, nawapata sana sema nataka nianze kujichanganya na mabo zaidi kaka.Kiasi sana mana haya mambo niliyaacha muda mrefu nimeyarudia kipindi hiki tu.
Hiyo hapo, lete maneno
Mabo ni nnmwenyewe nlikuwa narung'ombe kwenye simpo 22 kuna hali nlipitia nataka kuridia hizo harakati kwa sasa najitafuta mkuu. Hao kina exellent, meru, maua,C1,yaung fey, nawapata sana sema nataka nianze kujichanganya na mabo zaidi kaka.
shwari man inakuwa ni nini arifu.Mabo ni nn
nichekKama kichwa kinavyojieleza, naomba connection ya chimbo la vifaa vya umeme kwa bei ya jumla kariakoo. Nataka kufungua duka huku mkoani. Shukrani
Kaka yangu Yule ustaadh.Kwa kitenge pale mtaa wa swahili kama sijakosea