Kama sijaona koment siku hiyo sijacheka kwa akili yako lazma mtaji ukateBiashara safi kabisa mkuu sema nilinusulika kukata mtaji
unawakilisha vema u zero iq[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu bhana
Msalimie Muroto!Dodoma gest nyingi bei kuanzia 10k mpak 15k chumba kizuri kitanda safi pia ni self
Hapo maisha club panaendeleaje na vumbi la Dodoma waziri mkuu amelipunguza au bado lipoMuroto maneno tu wakina Fatiha wanapeta tu mjini hapa ,pale chako chako ni noma wako wezereee
Kuna chimbo moja linaitwa Landmark kule uzunguni 20k to 25k,kupo vizuri tu na kumejificha huwezi jua kama kuna lodge!Kuna Mvita lodge closer to Dodoma in pale 20K to 25k unapata room swaafi kabisa
Naijua hiyo lodge mkuu mazingira ya pale ni tulivu sana kama uko na demu wa mtu ataliwa bila mume wake kushitukiaKuna chimbo moja linaitwa Landmark kule uzunguni 20k to 25k,kupo vizuri tu na kumejificha huwezi jua kama kuna lodge!
Kabisa Mkuu,wake za watu wanachinjwa sana pale kimya kimya,yaani pale unaweza ukajikuta lodge nzima uko peke yako!mazingira tulivu sana!Naijua hiyo lodge mkuu mazingira ya pale ni tulivu sana kama uko na demu wa mtu ataliwa bila mume wake kushitukia
Dom sehemu moja ya kiboya sana ni sawa tu na TandikaSasa hivi kuna Club 7 mkuu ni noma japo maisha bado inapiga kazi ila tu ile club ya NK imededi kitambooooo
hata kama bado haifanyi Dom iwe sehemu ya kuvutiaSasa hivi kuko vizuri mkuu STK,DFP,SM zote siku hizi ziko dom watoto wa pale CBE wanaliwa vibaya