Nililala Kisiwa fulani hivi sengerema daah guest chumba buku tatu asee nilikaa wiki utafikiri mwaka.
Karibu na billionea LodgeMlezi mkuu kama unapajua
Acha tu mkuu hilo eneo lilikuwa na guest moja tu.Buku tatu ulitegemea nini
Naongeza jalixy Lodge ipo Saba SabaHizo lodge zitakuwa zina mashuka machafu. Lodge standard dom ni 25k to 30k. Ambazo nazifahamu ni
Waridi 25,000 ipo makole
Haika lodge nyuma ya cape town kisasa 30,000
Johainic hotel 30,000 kisasa
Kuna chimbo langu lipo buza kwalulenge! Elfu8 self safi.. Maji yakutoshosha hakuna longolongo. Ukifulia unachukua single buku6 lkn nacho kipo poa sana. Tofauti ni choo cha ndani tu.Wale wakola wenzangu wa kuchapa maduu tuambizane hapa gest gani uliyowahi kuitumia kwenye mambo yako na bei ilikuaje?
Pia tuambizane chimbo za gest za bei nafuu ili namna gani vipi ukiopoa ujue kabisa nikienda eneo flani itanitoka ngapi?
Hazina HiyoUsibishane mkuu njoo na 12k nikupeleke gest safi kabisa tena ni self kila kitu kipo na TV ndani
YecKaribu na billionea Lodge
Naongeza jalixy Lodge ipo Saba Saba
yna2 atakubali kwenda guest ya tsh 1,700/= cash kweli![emoji1][emoji1][emoji1][/QUOT
Hahahaha haha nimepiga vyombo Sana pale huu ujana ni shiiidaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu unazijua chimbo zangu zote
Nipo kito hapa nakula vitu vyanguWozaaa haujakoseaaa
Nipo na Mtoto hapa nafikir nimpeleke wap Leo nikamkune vizrSafi sana mkuu maisha yenyewe mafupi haya
Hujavuta hata mmoja utafune??Sema nini leo nipo gheto tu nimepumzika mkuu huwa situmii pombe mi zangu ni papuchi tu