Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Yaani hapo hawapaoni kabisaa.Yani Muhammad alipigwa jiwe wakamtoa meno ya mbele yote , hapa nilikuwa nasoma zangu hadith nimekuta hii
It was narrated that Sahl bin Sa’d As-Sa’idi said:
“The Messenger of Allah (ﷺ) was wounded on the Day of Uhud. His molar was broken and his helmet was crushed on his head. Fatimah was washing the blood from him and ‘Ali was pouring water on him from a shield....Sunan Ibn Majah 3464
Unamaanisha maaskofu na pop au?wavaa kanzu hawawezi kuelewa kwakuwa wamepandikizwa mashetani kichwani na sifa ya shetani ni ubishi
Naona unajilazimisha kuto kuelewaKijana tuliza akili nilikuuliza suala la aya ukaleta hadithi inayo onyesha kupunguzwa kwa idadi ya kunyonyesha,hapa unataka aya.
Sasa ndiyo uniambie ni aya gani zilizo nyofolewa ? Usikimbie swali.
Tufanye kiingereza shida kwangu lakini unachokiandika kinatofautiana na matini ya Qur'aan yenyewe yaani Kiarabu bali uhalisia.Wewe najua toka mda mrefu kingereza ni shida kwako
Ujinga ni huo wa maana ya uongo uliyo iweka hapo.Onesha ujinga ulipo hapa
Refrain maana yake tumezuia kutoa miujiza
Koran 17:59 "And We refrain from sending the signs, only because the men of former generations treated them as false."
Watu walimbana muhammad kwa nini hana muujiza WOWOTE , Allah akashusha Aya akasema muhammad hana muujiza yeye ni muonyaji tu
13:7 Jalal - Al-JalalaynAnd those who disbelieve say, ‘Why has not some sign been sent down upon him, upon Muhammad (s), from his Lord!’, the like of the staff and the [glowing] hand, or the she-camel. God, exalted be He, says: You are only a warner, one to threaten the disbelievers, for it is not your duty to bring forth signs
Yalikuwepo wapi ? Kwenye Qur'aan au kwenye nini ? Hii ndiyo hoja ya msingi. Kama kwenye Qur'aan yalikuwa kwenye sura gani ?Naona unajilazimisha kuto kuelewa
- Matendo ya kunyonyesha watu wazima yalikuwepo yalianza kwa kunyonyesha mara kumi
- ..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
- Sahih-Muslim 1453e:....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
- Aisha anathibitisha aya kutoka kwa Allah zilikuwepo , na anasema unyonyeshaji ulishushwa na Allah kutoka mara 10 kwenda mara 5
- Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
- Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
- Aisha anasema zililiwa na mbuzi wakati wakiwa bize na mazishi ya muhammad, watu walikuwa wana recite
- It was narrated that 'Aishah said: Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.”
- Muhammad kafa verses za unyonyeshaji zipo , baati mbaya mbuzi kala zile verse, ila watu walikuwa wamekariri, swali langu kwa nini kwenye koran leo hii hazipo?
Naona tunabishana translation kukosewaUjinga ni huo wa maana ya uongo uliyo iweka hapo.
Matini ya aya na tarjama yake ni hii :
59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki Ishara ila kwa ajili ya kuhadharisha. (al-Israa : 59)
Sasa onyesha hapo kwenye matni ya kiarabu neno kuzuia.
Lakini soma aya ya 58 na 60 upate kuona mtiririko wa masimulizi.
Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).Yalikuwepo wapi ? Kwenye Qur'aan au kwenye nini ? Hii ndiyo hoja ya msingi. Kama kwenye Qur'aan yalikuwa kwenye sura gani ?
Hizo aya za unyonyeshaji zilikuwepo katika sura gani ?
Lakini hii haimaanishi ya kuwa aya hizo hazikuwepo sehemu nyingine sababu Mtume alikuwa ana waandishi wa Qur'aan zaidi ya mmoja na maswahaba walikuwa wanafundishwa aya hizo. Kwa maana hakuna swahaba mmoja tu ndiye aliyekuwa na aya fulani.
Jibu swali nililo kuuliza. Qur'aan imedhibitiwa matni mpaka maana ndiyo maana nakwambia matini ya Kiarabu hiyo hapo,wapi kumeandikwa kuzuiwa ?Naona tunabishana translation kukosewa
According to revelation surah ya 17 ni ya ngapi na surah ya kupasua mwezi ni ya ngapi?
Khushuka ilianza surah ya 54 (reve 37) ikafuata 17 (rev 50) je ni kweli?
Huko nyuma kama ulikuwa makini na ungekuwa unataka kujua usingeendelea kuuliza ujinga. Nilikwambia kwenye Qur'aan na Hadithi kuna kipengele maalumu huitwa "Nasikh wa al Mansukh" ukijishughulisha na Uislamu lazima utakutana na kitu hiki,kinaeleze aya zilizo futwa hukumu lakini zinasomwa,na aya ambazo hukumu zake zipo lakini zilifutwa na Allah mwenyewe.Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
aisha kasema revealed in the holy quran
Ndio maana ili nijibu nikaomba uniambie kwanza Kati ya Aya ya sura ya 17 na 54 ipi ilitangulia Yani Muhammad aliwatajia watu ipi mwanzo na ipi ikafuataJibu swali nililo kuuliza. Qur'aan imedhibitiwa matni mpaka maana ndiyo maana nakwambia matini ya Kiarabu hiyo hapo,wapi kumeandikwa kuzuiwa ?
Kijana unajua kusoma Qur'aan ? Au unajua Kiarabu ? Swali lako halina maana wala haliathiri tafsiri ya asili. Hiyo Tafsiri uliyo iweka haipo ni ya uongo ? Na si kila muislamu ni mjuzi wa kufasiri Qur'aan hasa hao unao warejea,ngona nikuukize swali hiyo tarjama ya Kiingereza umeitoa wapi ?Ndio maana ili nijibu nikaomba uniambie kwanza Kati ya Aya ya sura ya 17 na 54 ipi ilitangulia Yani Muhammad aliwatajia watu ipi mwanzo na ipi ikafuata
Walio wela hizi translation ni waislamu sasa kama huwa mnapotosha hilo ni lenu?
NDIO MAANA NILIenda taratibu Sana na Hadith nikawekaHuko nyuma kama ulikuwa makini na ungekuwa unataka kujua usingeendelea kuuliza ujinga. Nilikwambia kwenye Qur'aan na Hadithi kuna kipengele maalumu huitwa "Nasikh wa al Mansukh" ukijishughulisha na Uislamu lazima utakutana na kitu hiki,kinaeleze aya zilizo futwa hukumu lakini zinasomwa,na aya ambazo hukumu zake zipo lakini zilifutwa na Allah mwenyewe.
Sasa unaposema baada ya mtume kuondoka kuna aya zilifutwa ndiyo utuambie kwa hoja gani na zipi na je hakuna swahaba au maswahaba walio kuwa wamehifadhi aya hizo ?
Sasa ujinga wako unakufanya upoteze muda kuuliza maswali ambayo nilishakujibu zaidi ya mara mbili.
Kingine una deni nakudai kuhusu Imamu Hafs na wewe una dai kwamba ile ni Qur'aan yake.
Embu nijibu hili kwanza kunakitu nataka uthibishe mwenyeweKijana unajua kusoma Qur'aan ? Au unajua Kiarabu ? Swali lako halina maana wala haliathiri tafsiri ya asili. Hiyo Tafsiri uliyo iweka haipo ni ya uongo ? Na si kila muislamu ni mjuzi wa kufasiri Qur'aan hasa hao unao warejea,ngona nikuukize swali hiyo tarjama ya Kiingereza umeitoa wapi ?
Nimekuwekea matini ya Kiarabu tena iko wazi sana,lakini una ruka ruka. Onyesha hapo katika matini ya Kiarabu "kuzuia" ?!
Lakini kwanini na wewe hufanyi utafiti unachukua chukua tu kichwa mchunga ? Unafikiri Qur'aan ni kama Biblia unaokoteza okoteza maana wala hamurejei kwa Yesu mwenyewe ? Qur'aan lazima urejee maana ya Mtume uwaangalie maswahaba waliifanyia kazi vipi aya na waliielewa vipi aya husika.
Unaweza kunionesha neno la kiarabu linalomaanisha refrain hapo juu? Au mnataka ku manipulate translation ili ziendee upandemnaotaka ninyi?Lugha ya kiarabu iliyotumika , refrain ndio neno sahih kwenye translation , Yani tumezuia kutoa miujiza
Nikakuuliza ni aya zipi hizo na je hizo aya alikuwa nazo pekee mama Aisha na lini tukio hili lilitokea,sababu baada ya Mtume kufariki swahaba Abuubakr alitoa maoni Qur'aan ikusanywe yote na iwe katika kitabu kimoja na pia kuchelea wale walio hifadhi Qur'aan huenda wakafa na wali kuwa wengi.NDIO MAANA NILIenda taratibu Sana na Hadith nikaweka
MWANZO niliuliza nani anafuta au kubadili Aya za koran , jibu likawa ni Allah
tukaruDI Kwenye swali tena, zililiwa na mbuzi na mpaKa Muhammad anakufa zilipunguzwa tu ,sasa baada ya Muhammad kufa Allah alizufutaje na aliyekuwa anapokea maelezo kutoka kwa Allah kafa?
Sijaona munasaba wa swali lako na hoja iliyopo na kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza.Embu nijibu hili kwanza kunakitu nataka uthibishe mwenyewe
Kati ya Aya ya sura ya 17 na 54 ipi ilitangulia Yani Muhammad aliwatajia watu ipi mwanzo na ipi ikafuata
Kutangulia kwa sura ya 17 au 54 umeuliza swali linalo onyesha ya kuwa huijui Qur'aan. Qur'aan ilikuwa inashuka mara nyingi kwa aya bali ni sura chache zisizo zidi tatu au tano ndiyo zimeshuka kamili tena zile sura fupi fupi.Mubarridi nasubiria uniambie sura ya 17 na 54 ipi ilitangulia