Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Ni zipi Tabia za Mabinti Wapogoro - JamiiForumsWasichana/wanawake wa kipogoro wanatabia gani???
Hivi Wangoni nao asili yao ni wapi?Na kabla ya kufika senegal walitokea wapi?
Si bure kule senegal nao wanasema wapogoro asili yao ni Afrika Mashariki huku.
Wapogoro wana Sifa jamani..
Wanapenda shuguli mno
[/QUOTE
shughuli gani wanapenda?
Hivi ni Wapogolo au Wapogoro?
Hivi Wangoni nao asili yao ni wapi?
Sherehe tu za aina yoyote
Nadhani hivyoKwa hiyo... Hao wahamiaji kutoka Senegal walipofika MAHENGE "KULIBOMA" Hawakukuta wenyeji?
Huamini mkuu?Historia bana...eti wapogoro wana asili ya kina Mane. Aisee
Naamini mkuu. Kama naamini sisi wanadamu tumetokana na sokwe. Nitashindwa kweli kuamini kitu kidogo hivyo kuwa Wapogoro wanaundugu na Wolof?Huamini mkuu?
Makabila mengi hapa Bongo ni wahamiaji.Naamini mkuu. Kama naamini sisi wanadamu tumetokana na sokwe. Nitashindwa kweli kuamini kitu kidogo hivyo kuwa Wapogoro wanaundugu na Wolof?
Hiyo naamini wala sikataiMakabila mengi hapa Bongo ni wahamiaji.
Hivi nikikwambia Wangoni wana undugu na akina Lucky Dube au Mariam Makeba utakataa?
Akikujibu hapa ni-tag kwa sababu!!Na kabla ya kufika senegal walitokea wapi?
Si bure kule senegal nao wanasema wapogoro asili yao ni Afrika Mashariki huku.