Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga

Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga inaonyesha kua walitokea Afrika kaskazini upande wa Mashariki mwa Afrika yaani pande za Ethiopia/Uhabeshi, asili yao kuu waliitwa wa salsha hilo ni neno la kiyahudi ikimaanisha wayahudi wa kale ambao walichanganyika na wakushi walioondolewa uyahudi wakapelekwa
Ethiopia huko Uhabesh na wakaendelea kusambaa hadi Kenya na kufika hadi ukambaa,

Wakaendelea kusambaa zaidi kusini mwa Kenya na kusukumizwa hadi Kilimanjaro, wachagga hawa walipofika Kilimanjaro walikuta watu wadogo sana waliokua wakiishi hapo au wenyeji wa hapo yaani vimbilikimo au wambuli au vibete au iwakonyigo hawa wana majina mengi sana wachagga hawa walikua na mifugo mingi sana yaani ilikua ni kundi kubwa la wachagga wakihama na kuweka makao yao hapo Kilimanjaro,

Vimbilikimo hivo walipowaona watu hao wakubwa kuliko wao waliondoka na kuogopa na wakaenda upande wa Kongo yaani walikimbilia misitu ya Kongo. Kipindi wakoloni walipofika Kilimanjaro waliwaita chaka sababu walitengeneza vibanda vya mifugo yao vichakani ndipo baadae wakaitwa chagga, sababu nyingine ya wachagga kufika hapo Kilimanjaro ni kutafuta malisho.

Baadae sana wachagga walikua na umoja na mafanikio makubwa kabla hata ya uhuru na ilikua watengeneze serikali yao. Wazungu walipo panga njama za kuligawa bara la Afrika yaani scramble for Africa au Rape of

Africa walitumwa watu na wakilishi waanze kazi hiyo, walipokuja Tanganyika walikuta wabantu wana serikali yao na ustaarabu wao na walikuta tawala zenye nguvu na mfumo rasmi, moja wapo ikiwa ni tawala na dola la kichagga yaani Chagga State na kiongozi wao Mangi Mkuu.
 
Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga inaonyesha kua walitokea Afrika kaskazini upande wa Mashariki mwa Afrika yaani pande za Ethiopia/Uhabeshi, asili yao kuu waliitwa wa salsha hilo ni neno la kiyahudi ikimaanisha wayahudi wa kale ambao walichanganyika na wakushi walioondolewa uyahudi wakapelekwa Ethiopia huko Uhabesh na wakaendelea kusambaa hadi Kenya na kufika hadi ukambaa, wakaendelea kusambaa zaidi kusini mwa Kenya na kusukumizwa hadi Kilimanjaro, wachagga hawa walipofika Kilimanjaro walikuta watu wadogo sana waliokua wakiishi hapo au wenyeji wa hapo yaani vimbilikimo au wambuli au vibete au iwakonyigo hawa wana majina mengi sana wachagga hawa walikua na mifugo mingi sana yaani ilikua ni kundi kubwa la wachagga wakihama na kuweka makao yao hapo Kilimanjaro, vimbilikimo hivo walipowaona watu hao wakubwa kuliko wao waliondoka na kuogopa na wakaenda upande wa Kongo yaani walikimbilia misitu ya Kongo. Kipindi wakoloni walipofika Kilimanjaro waliwaita chaka sababu walitengeneza vibanda vya mifugo yao vichakani ndipo baadae wakaitwa chagga, sababu nyingine ya wachagga kufika hapo Kilimanjaro ni kutafuta malisho. Baadae sana wachagga walikua na umoja na mafanikio makubwa kabla hata ya uhuru na ilikua watengeneze serikali yao. Wazungu walipo panga njama za kuligawa bara la Afrika yaani scramble for Africa au Rape of Africa walitumwa watu na wakilishi waanze kazi hiyo, walipokuja Tanganyika walikuta wabantu wana serikali yao na ustaarabu wao na walikuta tawala zenye nguvu na mfumo rasmi, moja wapo ikiwa ni tawala na dola la kichagga yaani Chagga State na kiongozi wao Mangi Mkuu.
achana na mambo ya dhahania meku..hii ni kama kuchanganua sentensi kwa njia ya matawi

haina faida yoyote kimaisha ,jikite katika uzalishaji zaidi achana na hekaya za alfu ulela
 
achana na mambo ya dhahania meku..hii ni kama kuchanganua sentensi kwa njia ya matawi

haina faida yoyote kimaisha ,jikite katika uzalishaji zaidi achana na hekaya za alfu ulela
Ni jambo zuri kujua historia ila wachaga ni jamii yenye mchanganyiko wa wakamba, wamasai , wasambaa wataita na wakikuyu kidogo.
 
Mmachame anaongea lugha tofauti na mmarangu, mrombo alafu eti wanajiita kabila moja!

Njoo huku usukumani lugha ni moja tokea Mwanza hadi Tabora
 
inakuinua vipi kiuchumi ukishajua asiliyako mfano ni london na uko marangu kuna gawio linaingia
Unaweza kufungua biashara ya kuuza vifaa vya vya kitamaduni kama wamasai wanavyofanya na ukaingiza fedha za kigeni.😂😂
 
Mmachame anaongea lugha tofauti na mmarangu, mrombo alafu eti wanajiita kabila moja!

Njoo huku usukumani lugha ni moja tokea Mwanza hadi Tabora
Ni kabila moja ila lahaja tu ndio imebadilika kutokana na maeneo mbona wanaelewana vizuri tu.
 
wamasai wanauza utamaduni wao kwa machimbuko yao
Pia mtu anaweza fanya vitu biashara au elimu kutokana na chimbuko, mfano mzuri makabila yote yaliotengeneza jamaii ya wachaga wana asili ya kuwa wafanya biashara na wafugaji , mtu akijua hilo anaweza kufanya kitu kutokana na mtandao wa asili yake.

Mfano mzuri wahaya wamekuwa na mafanikio ya kielimu kwa kufuata mtandao wa asili.
 
Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga inaonyesha kua walitokea Afrika kaskazini upande wa Mashariki mwa Afrika yaani pande za Ethiopia/Uhabeshi, asili yao kuu waliitwa wa salsha hilo ni neno la kiyahudi ikimaanisha wayahudi wa kale ambao walichanganyika na wakushi walioondolewa uyahudi wakapelekwa Ethiopia huko Uhabesh na wakaendelea kusambaa hadi Kenya na kufika hadi ukambaa, wakaendelea kusambaa zaidi kusini mwa Kenya na kusukumizwa hadi Kilimanjaro, wachagga hawa walipofika Kilimanjaro walikuta watu wadogo sana waliokua wakiishi hapo au wenyeji wa hapo yaani vimbilikimo au wambuli au vibete au iwakonyigo hawa wana majina mengi sana wachagga hawa walikua na mifugo mingi sana yaani ilikua ni kundi kubwa la wachagga wakihama na kuweka makao yao hapo Kilimanjaro, vimbilikimo hivo walipowaona watu hao wakubwa kuliko wao waliondoka na kuogopa na wakaenda upande wa Kongo yaani walikimbilia misitu ya Kongo. Kipindi wakoloni walipofika Kilimanjaro waliwaita chaka sababu walitengeneza vibanda vya mifugo yao vichakani ndipo baadae wakaitwa chagga, sababu nyingine ya wachagga kufika hapo Kilimanjaro ni kutafuta malisho. Baadae sana wachagga walikua na umoja na mafanikio makubwa kabla hata ya uhuru na ilikua watengeneze serikali yao. Wazungu walipo panga njama za kuligawa bara la Afrika yaani scramble for Africa au Rape of Africa walitumwa watu na wakilishi waanze kazi hiyo, walipokuja Tanganyika walikuta wabantu wana serikali yao na ustaarabu wao na walikuta tawala zenye nguvu na mfumo rasmi, moja wapo ikiwa ni tawala na dola la kichagga yaani Chagga State na kiongozi wao Mangi Mkuu.
Wacha wee😂😂
 
Chimbuko na Asili ya kabila la wa Chagga inaonyesha kua walitokea Afrika kaskazini upande wa Mashariki mwa Afrika yaani pande za Ethiopia/Uhabeshi, asili yao kuu waliitwa wa salsha hilo ni neno la kiyahudi ikimaanisha wayahudi wa kale ambao walichanganyika na wakushi walioondolewa uyahudi wakapelekwa Ethiopia huko Uhabesh na wakaendelea kusambaa hadi Kenya na kufika hadi ukambaa, wakaendelea kusambaa zaidi kusini mwa Kenya na kusukumizwa hadi Kilimanjaro, wachagga hawa walipofika Kilimanjaro walikuta watu wadogo sana waliokua wakiishi hapo au wenyeji wa hapo yaani vimbilikimo au wambuli au vibete au iwakonyigo hawa wana majina mengi sana wachagga hawa walikua na mifugo mingi sana yaani ilikua ni kundi kubwa la wachagga wakihama na kuweka makao yao hapo Kilimanjaro, vimbilikimo hivo walipowaona watu hao wakubwa kuliko wao waliondoka na kuogopa na wakaenda upande wa Kongo yaani walikimbilia misitu ya Kongo. Kipindi wakoloni walipofika Kilimanjaro waliwaita chaka sababu walitengeneza vibanda vya mifugo yao vichakani ndipo baadae wakaitwa chagga, sababu nyingine ya wachagga kufika hapo Kilimanjaro ni kutafuta malisho. Baadae sana wachagga walikua na umoja na mafanikio makubwa kabla hata ya uhuru na ilikua watengeneze serikali yao. Wazungu walipo panga njama za kuligawa bara la Afrika yaani scramble for Africa au Rape of Africa walitumwa watu na wakilishi waanze kazi hiyo, walipokuja Tanganyika walikuta wabantu wana serikali yao na ustaarabu wao na walikuta tawala zenye nguvu na mfumo rasmi, moja wapo ikiwa ni tawala na dola la kichagga yaani Chagga State na kiongozi wao Mangi Mkuu.
Acha uongo. Wachaga mmekuwa na masifa sana siku hizi kama watu fulani. Wachaga ni wabantu na asili ya wabantu siyo huko uliko eleza. Hizi ni porojo za abunuasi. Wenye asili ya huko Ethiopia ni Wamasai na Wairaq. Ninyi ni wabantu na lugha na tamaduni zinabainisha hilo.
Uongo mwingine kwenye andiko la Wachaga wengi ni issue ya Mangi Mkuu na Nchi ya Wachaga. Kabla ya kuja wakoloni kila aina ya Wachaga walikuwa na magi wao na walikuwa maadui kabisa. Kulikuwa na Mangi wengi kwa kila kikundi. Wamachame walikuwa na Mangi wao, Wakibosho walikuwa na Mangi wao na Wamarangu pia walikuwa na Mangi tena siyo mmoja maeneo ya Kilema kulikuwa na Mangi tofauti na yule wa Mamba kuelekea Mwika. Huko Rombo ndio wasiseme walikuwa na Mamangi kibao. Na walikuwa wanapigana mara kwa mara. Wengine wakishindwa wanatawaliwa. Mfano mzuri hata shuleni tumefundishwa vita vya Mangi Rindi na Mangi sina na namna Mangi Rindi alivyowakaribisha wazungu na kuungana nao kumpiga Mangi sina wa Kibosho ambaye kwa wakati huo alikuwa ametawala eneo kubwa. Sasa hii habari ya Mangi mkuu ni creation ya Wazungu ili kuweza kutawala vizuri. Huyu Mangi Mkuu alikuwa kibaraka wa Wazungu.
 
Historia ya afrika inaweza kusema ccm ilikuwa nyani ifikapo mwaka 4000 sababu walisambaa kupitia huyu.
IMG_0612.jpeg
 
Makalio ya kichaga yalifanya almanusura niuze kiwanja cha urithi 😝
 
Back
Top Bottom