Tetesi: China ikiwa super power dunia itayumba, Mungu epushia mbali

Duh.kuna miwatu inajua adi raha aisee..
 
Uko vizuri mzee baba
 
China Hana sera ya kudhibiti magaidi ya kiislamu ulimwengu utakuwa sehemu hatari sana magaidi ya kiislamu yakiachwa yamee
Jiangalie wewe.. Ya nini kusema dini za watu?? Unawajua magaidi ww? Ushawahi kukitana nao?? Unawajua waislamu wewe?? Unaujua uislamu wewe?? Fikiria kabla hujafungua domo lako
 
Magaidi wa kiislamu wapo

Yule dogo alielipua na kuua wanafunzi wenzie 17 usa mnamuitaje mgonjwa wa akili eeee

kuna mwengone hapohapo usa alilipua watu disco nae mgonjwa akili

matukio ni mengi usipumbazwe na propaganda za kidunia magaid yapo dini zote ma kristo yakilipuana yanaitana magonjwa ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…