Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
China Imefungua hospitali ya kwanza yenye kutumia Maroboti
Teknolojia ya Akili mnemba (AI) Inazidi kushika kasi ulimwenguni, sasa teknolojia hii imepelekwa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya Afya.
Nchi ya china ikishilikiana na chuo cha Tsinghua university imefanikiwa kufungua hospital yenye kutumia teknolojia ya Ai ikiwa na madaktari 14 wa Ai wenye kukufanyia uchunguzi na kukupatia matibabu kwa ufasaha.
Wale wagonjwa wote wa kibinadamu wanakua wanapatiwa matibabu na madaktari wa AI, hospital hiyo inaitwa Agent Hospital. Kuanzia wauguzi , manesi na madaktari wanakua wanaendeshwa na muundo wa LLM (large language Model) wenye Uwezo wa kuingiliana kwa urahisi.
Cha kushangaza zaidi ni Uwezo wa madaktari hao wa kiroboti kuweza kuhudumia wagonjwa wengi kwa wakati mmoja yani ndani ya siku chache Wanaweza kuhudumia wagonjwa 10,000.
Kwa upande wa madaktari wa kibinadamu ingechukua miaka miwili kuweza kuhudumia wagonjwa hao.
Wengi wanawaza Je teknolojia ya AI inaweza kuchukua nafasi ya binadamu?? 😮
#bongotech255
Teknolojia ya Akili mnemba (AI) Inazidi kushika kasi ulimwenguni, sasa teknolojia hii imepelekwa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya Afya.
Nchi ya china ikishilikiana na chuo cha Tsinghua university imefanikiwa kufungua hospital yenye kutumia teknolojia ya Ai ikiwa na madaktari 14 wa Ai wenye kukufanyia uchunguzi na kukupatia matibabu kwa ufasaha.
Wale wagonjwa wote wa kibinadamu wanakua wanapatiwa matibabu na madaktari wa AI, hospital hiyo inaitwa Agent Hospital. Kuanzia wauguzi , manesi na madaktari wanakua wanaendeshwa na muundo wa LLM (large language Model) wenye Uwezo wa kuingiliana kwa urahisi.
Cha kushangaza zaidi ni Uwezo wa madaktari hao wa kiroboti kuweza kuhudumia wagonjwa wengi kwa wakati mmoja yani ndani ya siku chache Wanaweza kuhudumia wagonjwa 10,000.
Kwa upande wa madaktari wa kibinadamu ingechukua miaka miwili kuweza kuhudumia wagonjwa hao.
Wengi wanawaza Je teknolojia ya AI inaweza kuchukua nafasi ya binadamu?? 😮
#bongotech255