#COVID19 China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya COVID-19

#COVID19 China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya COVID-19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya #COVID19 ambayo yametajwa kuwa ni makubwa kuliko yaliyowahi kuripotiwa tangu Februari 2020

Kirusi cha Omicron kimesambaa majimbo mengi. Maelfu ya watu wamewekwa karantini huku nchi ikilazimika kufungwa kwa siku zisizojulikana kudhibiti maambukizi

Hata hivyo, hakuna kifo kilichorekodiwa hadi sasa.
 
Huu ugonjwa mpaka sasa haueleweki...headline za Russia vs Ukraine zimeupoteza kwenye ramani....

Lakini bado upo
 
Back
Top Bottom