masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 867
Wasalaam wakuu!
Kama headline inavyojieleza hapo juu na hizo bahari ni za ukweli kabisa nanimafanikio ya safari ya Kinana na viongozi wengine wa ccm ndani ya Uchina.
Kaswahili kangu mie: Kwa nini bagamoyo na sio Dodoma ama Mwanza? Yale maneno ya mtaani kuwa kila rais ajae huandaa mazingira ya eneo lake kiuchumi yanaweza yakawa na ukweli wowote?
Na kwa nini Bagamoyo au dar tu isiwe Mwanza,dodoma ama mbeya?
Butiama kukoje mpaka sasa? Kwa mwinyi je? Mkapa kwao? Ana Rais ajeye kwao leo kukoje?
Kwa nini serikali yetu isiboreshe mazingira ya mikoa yote hasa inayokua Kiuchumi ili vijana wengi tusikimbilie dar es salaam?
Kama headline inavyojieleza hapo juu na hizo bahari ni za ukweli kabisa nanimafanikio ya safari ya Kinana na viongozi wengine wa ccm ndani ya Uchina.
Kaswahili kangu mie: Kwa nini bagamoyo na sio Dodoma ama Mwanza? Yale maneno ya mtaani kuwa kila rais ajae huandaa mazingira ya eneo lake kiuchumi yanaweza yakawa na ukweli wowote?
Na kwa nini Bagamoyo au dar tu isiwe Mwanza,dodoma ama mbeya?
Butiama kukoje mpaka sasa? Kwa mwinyi je? Mkapa kwao? Ana Rais ajeye kwao leo kukoje?
Kwa nini serikali yetu isiboreshe mazingira ya mikoa yote hasa inayokua Kiuchumi ili vijana wengi tusikimbilie dar es salaam?
