Hapana mkuu,prezzo ana mpango wa kuizamisha bwagamoyo ndani ya dalisilam,vipi kuhusu bandari kuhamishiwa huko?Labda soko aidha la balakashia au samaki changu...
Kiongozi hao watu wa balakashia wanakujaje kwenye mjadala huu kwani hawana haki nchi hii? ni bora uka angalia potentiality ya bagamoyo kwa mradi huu achani ubinafisi au unataka kikajengwe Moshi vijiniLabda soko aidha laau samaki changu...PHP:balakashia
Kiongozi hao watu wa balakashia wanakujaje kwenye mjadala huu kwani hawana haki nchi hii? ni bora uka angalia potentiality ya bagamoyo kwa mradi huu achani ubinafisi au unataka kikajengwe Moshi vijini
Wapi? bagamoyo.
Acheni siasa bagamoyo ina pontential nzuri kwanza iko karibu na jiji kuu la uchumi dsm ambapo hata serikali imebase pia kule kuna mradi wa bandari ambao ni muhimu kwa kusafirisha na kuingiza bidhaa zinazohitajika pia suala la bandari nalo watu wanaleta siasa eneo la bandari dsm ni ekari 44 wakti mwambao wa bahari wa from bagamoyo to tanga na almost hekta elfu 23 sasa kuna maana gani ya kuendelea kung'ang'ania dar wakat kuna eneo liko wazi la maelfu jirani tu hapo bagamoyo na why mnakomalia bagamoyo tu mbona pia miradi ya bandari kavu,airports na vituo vya biashara inajengwa kigoma,mbeya hamuongei au JK huko kwao pia?ishu ni kua kigoma ni eneo strategic 4 business sasa mlitaka kijengwe wapi singida au
Acheni siasa bagamoyo ina pontential nzuri kwanza iko karibu na jiji kuu la uchumi dsm ambapo hata serikali imebase pia kule kuna mradi wa bandari ambao ni muhimu kwa kusafirisha na kuingiza bidhaa zinazohitajika pia suala la bandari nalo watu wanaleta siasa eneo la bandari dsm ni ekari 44 wakti mwambao wa bahari wa from bagamoyo to tanga na almost hekta elfu 23 sasa kuna maana gani ya kuendelea kung'ang'ania dar wakat kuna eneo liko wazi la maelfu jirani tu hapo bagamoyo na why mnakomalia bagamoyo tu mbona pia miradi ya bandari kavu,airports na vituo vya biashara inajengwa kigoma,mbeya hamuongei au JK huko kwao pia?ishu ni kua kigoma ni eneo strategic 4 business sasa mlitaka kijengwe wapi singida au
Binafsi sifurahii hii movie ya Bwagamoyo kuwa sehemu ya Dar ingawa si mkazi wa B/moyo,inatakiwa iwe set-lite town ya Dar na si part ya Dar,hii ni kwa ajili ya kutunza mji mkongwe ambao UNESCO wameshauorodhesha kama biosphere reserve ni fahari kuwa na mji wa zamani mzuri na msafi wenye utamaduni wake wa asli na kumbukumbu ya biashara za utumwa na nyara hapo kale huu ndiyo urithi wa asili siyo maghorofa makubwa na wachina wakirandaranda kila kona,hivi tutajivunia nini kizazi hiki kama tukiharibu kila jambo jema lililoachwa na viongozi wetu waliotangulia?.sioni kama hizi ni sifa mimi naziita za kijinga.Wasalaam wakuu!
Kama headline inavyojieleza hapo juu na hizo bahari ni za ukweli kabisa nanimafanikio ya safari ya Kinana na viongozi wengine wa ccm ndani ya Uchina.
Kaswahili kangu mie: Kwa nini bagamoyo na sio Dodoma ama Mwanza? Yale maneno ya mtaani kuwa kila rais ajae huandaa mazingira ya eneo lake kiuchumi yanaweza yakawa na ukweli wowote?
Na kwa nini Bagamoyo au dar tu isiwe Mwanza,dodoma ama mbeya?
Butiama kukoje mpaka sasa? Kwa mwinyi je? Mkapa kwao? Ana Rais ajeye kwao leo kukoje?
Kwa nini serikali yetu isiboreshe mazingira ya mikoa yote hasa inayokua Kiuchumi ili vijana wengi tusikimbilie dar es salaam?
Unajua uwanja wa ndege wa mby ,umechukua zaidi ya miaka mingapi?unajua bandari ya Tanga ni muhimu kiasi gani na ina kina kiasi gani?Acheni mapenzi yaliyopitiliza.Potentiality ya mbeya kiuchumi na bagamoyo unaweza kuilinganisha?
Binafsi sifurahii hii movie ya Bwagamoyo kuwa sehemu ya Dar ingawa si mkazi wa B/moyo,inatakiwa iwe set-lite town ya Dar na si part ya Dar,hii ni kwa ajili ya kutunza mji mkongwe ambao UNESCO wameshauorodhesha kama biosphere reserve ni fahari kuwa na mji wa zamani mzuri na msafi wenye utamaduni wake wa asli na kumbukumbu ya biashara za utumwa na nyara hapo kale huu ndiyo urithi wa asili siyo maghorofa makubwa na wachina wakirandaranda kila kona,hivi tutajivunia nini kizazi hiki kama tukiharibu kila jambo jema lililoachwa na viongozi wetu waliotangulia?.sioni kama hizi ni sifa mimi naziita za kijinga.