China, masharti nafuu barani Africa

leodigardcyrilo

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
3,340
Reaction score
1,748
Habar ya jumapilli samahanini kwenye mpangilio wa uandishi siko vizuri ilimradi ujumbe tu viusemi unaosema hamna mfanya biashara anaye fanyia hasara Ndo yametimia Viongozi wa Africa walikusanyana wanaenda China kwamba ndo mwekezaji mwenye masharti nafuu Haijapita hata wiki wanataka kuchukua uwanja wa ndege na shirika la umeme Sasa nasi njia hiyo hiyo eti wana masharti nafuu unafuu ndo nn?
 

Kwakweli haupo vizuri katika upangiliaj, hata hivyo sijakuelewa.
 
Umeeleweka vizuri tu!
Wananchi wa afrika tutajauzwa kama vimbuzi mnadani.
 
Ndo maana rais wetu hataki ujinga kwenda kujipendekeza kwa mabwanyenye
 
Hakuna makubaliano yatafanyika kuhusu mikataba nje ya tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…