China yatumia njia ya haja kubwa kupima Covid-19

China yatumia njia ya haja kubwa kupima Covid-19

KooZito

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
397
Reaction score
1,377
Nimecheka kicheko cha ubwege, ujinga na majilaumu.

Kiingereza wanasema, "the burning issue". Huku "site" tunasema "kinachobamba" kwa sasa ni janga la ubanwaji wa kifua na mafua al-maarufu Corona.

Tayari watu milioni 2.1 wamekufa na milioni 100 wameambukizwa. Wanasayansi wanahangaika kusaka chanjo na tiba. Sasa ukisafiri nje ya nchi lazima upimwe covido.

China (ilikoanzia ugonjwa) imegundua njia mpya ya kupima ugonjwa huu kwa haraka na hakika kuliko upimaji wa sasa wa kusokomeza kijiti pamba puani ili kupata makamasi ya ndani kabisa yaliyo na virusi.

Wataalamu hao wamegundua kuwa njia ya haja kubwa ni rahisi zaidi kupima corona. Kwa mujibu wa tangazo kupitia BBC jana jioni, ni kwamba kijiti pamba ikisokomezwa "huko" yapata nchi tatu (urefu wa kidole cha shahada) unaweza kuja na virusi vya CORONA.

Hii maana yake ni kwamba kila binadamu atakayepimwa corona atalazimika kumpa mgongo daktari akibong'oa ili kumpa wepesi daktari kuingiza kijitipamba "kunako" ili kuwasaka virusi kwenye kamasi zilizoko kwenye kuta za "huko".

Nashauri: Jikague usafi ila kama una fangasi basi utibu mapema usijekumpa kazi ya ziada daktari kukushauri. Lakini pia Nina mashaka, kwa "ubong'oaji" huu dunia nzima hatutoibua ugonjwa mwingine wa ajabu?

Yani unaenda na familia yako hospitalini kila mwanafamilia anajua "tumepimwa". Ama kweli shetani kazini.

Sasa ndo Magu analipata hili, sio tu hamtochanjwa bali hata vipimo vya ugonjwa huu utakoma. OVA!
 
Na unaweza kuta jitu kama hili rileta mada limemaliza Chuo Kikuu limekaaa chumbani kwa shemeji yake linalia ajira hakuna!

Halijiulizi kila siku watu wanapimaje "choo" ( stool) hospital kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo minyoo.

Sasa lenyewe linafikiria KUCHOKONOLEWA na Daktari "nchi tatu" kutafuta kamasi za COVID - 19!
Niko tayari kutembea uchi lakini nitawekeza sana kwenye elimu ya maana kwa wanangu!
 
Baadhi ya miji nchini China imeanza kutumia sampuli zilizochukuliwa kutoka kwenye njia ya haja kubwa ili kugundua maambukizi ya COVID-19.

Wataalamu wa Afya huko jijini Weinan katika jimbo la Shaanxi, walimpima mwanaume mmoja aliyeonesha dalili za ugonjwa huo kwa njia za kuchukua sampuli toka mdomoni lakini majibu yalionesha hakuwa na maambukizi. Sampuli zilizochukuliwa puani na sehemu ya haja kubwa zilionesha alikuwa na maambukizi.

Njia hii mpya ya kuchukua sampuli za vipimo vya Covid-19 inafanyika kwa kuingiza "cotton swab'' kwa urefu wa centimita 3 hadi 5 (yaani inch1.2 hadi 2.0) ndani ya sehemu ya haja kubwa na kisha kuzungushwa taratibu ili kupata kiwango cha sampuli kinachohitajika.

========

BEIJING (Reuters) - Some Chinese cities are using samples taken from the anus to detect potential COVID-19 infections as China steps up screening to make sure no potential carrier of the new coronavirus is missed amid regional outbreaks and ahead of the Lunar New Year holidays.

A throat swab on a 52-year-old man in Weinan, a city in northern Shaanxi province, showed negative result after the person showed symptoms such as coughing and appetite loss, a city official said on Wednesday, but he tested positive using nose and anal swabs.

The person, who had been put in a centralised facility for medical observation as a close contact of another carrier earlier this month, was then confirmed as a COVID-19 patient, the official told a news conference.

Anal swabs require inserting a cotton swab 3 to 5 centimetres (1.2 to 2.0 inch) into the anus and gently rotating it. Last week, a Beijing city official said that anal swabs were taken from over 1,000 teachers, staffers and students at a primary school in the city after an infection had been found. Their nose and throat swabs and serum samples were also collected for testing.

Additional tests using anal swabs can avoid missing infections, as virus traces in faecal samples or anal swabs could remain detectable for a longer time than in samples taken from upper respiratory tract, Li Tongzeng, a respiratory and infectious disease doctor in Beijing city, told state TV last week. He added that such samples are only necessarily for key groups such as those under quarantine.

Stool tests may be more effective than respiratory tests in identifying COVID-19 infections in children and infants since they carry a higher viral load in their stool than adults, researchers at the Chinese University of Hong Kong (CUHK) had said in a paper published last year.

Reporting by Roxanne Liu and Ryan Woo, Editing by William Maclean
 
Na unaweza kuta jitu kama hili rileta mada limemaliza Chuo Kikuu limekaaa chumbani kwa shemeji yake linalia ajira hakuna!

Halijiulizi kila siku watu wanapimaje "choo" ( stool) hospital kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo minyoo!!

Sasa lenyewe linafikiria KUCHOKONOLEWA na Daktari "nchi tatu" kutafuta kamasi za COVID - 19!
Niko tayari kutembea uchi lakini nitawekeza sana kwenye elimu ya maana kwa wanangu!
Hutopata hasara ukifikiri. Njoo nikupe kazi ya Uhasibu kama una taaluma bwege kabisa.
 
Biashara ya kusokomezana mavitu vitu kwenye mitandao yetu jamani sio poa.
Hapo ukianza na tezi dume ukija kumaliza na covid shughuli inakuwa imeisha kabisa,mambo ya haluwa haluwa!!.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hutopata hasara ukifikiri. Njoo nikupe kazi ya Uhasibu kama una taaluma bwege kabisa.
Siwezi kufanya kazi karibu na mtu anayependa KUCHOKONOLEWA nyuma kama wewe!

Falsafa ya maisha inasema watu hupenda sana kuongelea au kufikiria habari zinazo WASISIMUA!

Wewe unaonekana KUSISIMULIWA sana na KUCHOKONOLEWA nyuma ndo maana katika mambo yote yahusuyo COVID - 19 umeona hilo la KUCHOKONOLEWA nyuma ndo lina KUSISIMUA zaidi!
 
Ms
Siwezi kufanya kazi karibu na mtu anayependa KUCHOKONOLEWA nyuma kama wewe!

Falsafa ya maisha inasema watu hupenda sana kuongelea au kufikiria habari zinazo WASISIMUA!

Wewe unaonekana KUSISIMULIWA sana na KUCHOKONOLEWA nyuma ndo maana katika mambo yote yahusuyo COVID - 19 umeona hilo la KUCHOKONOLEWA nyuma ndo lina KUSISIMUA zaidi!
Mstari unaokutofautisha na ngurue ni mwembamba sana. Umesoma falsafa ya inzi na maliwato. Huwezi kujifunza arafa yoyote ya ulinganifu maana hujui mbweteko kwenye hirazini yako.
 
Nimecheka kicheko cha ubwege, ujinga na majilaumu.

Kiingereza wanasema, "the burning issue". Huku "site" tunasema "kinachobamba" kwa sasa ni janga la ubanwaji wa kifua na mafua al-maarufu Corona.

Tayari watu milioni 2.1 wamekufa na milioni 100 wameambukizwa. Wanasayansi wanahangaika kusaka chanjo na tiba. Sasa ukisafiri nje ya nchi lazima upimwe covido.

China (ilikoanzia ugonjwa) imegundua njia mpya ya kupima ugonjwa huu kwa haraka na hakika kuliko upimaji wa sasa wa kusokomeza kijiti pamba puani ili kupata makamasi ya ndani kabisa yaliyo na virusi.

Wataalamu hao wamegundua kuwa njia ya haja kubwa ni rahisi zaidi kupima corona. Kwa mujibu wa tangazo kupitia BBC jana jioni, ni kwamba kijiti pamba ikisokomezwa "huko" yapata nchi tatu (urefu wa kidole cha shahada) unaweza kuja na virusi vya CORONA.

Hii maana yake ni kwamba kila binadamu atakayepimwa corona atalazimika kumpa mgongo daktari akibong'oa ili kumpa wepesi daktari kuingiza kijitipamba "kunako" ili kuwasaka virusi kwenye kamasi zilizoko kwenye kuta za "huko".

Nashauri: Jikague usafi ila kama una fangasi basi utibu mapema usijekumpa kazi ya ziada daktari kukushauri. Lakini pia Nina mashaka, kwa "ubong'oaji" huu dunia nzima hatutoibua ugonjwa mwingine wa ajabu?

Yani unaenda na familia yako hospitalini kila mwanafamilia anajua "tumepimwa". Ama kweli shetani kazini.

Sasa ndo Magu analipata hili, sio tu hamtochanjwa bali hata vipimo vya ugonjwa huu utakoma. OVA!
Wachina ni wasenge
 
Back
Top Bottom