Chinese city in Afghanistan

Chinese city in Afghanistan

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Wachina ni watu ambao ni risk takers, baada ya Wamarekani kuondoka afghanistan, wajasiriamali kutoka China wamekuwa wakikimbilia huko wakidai kuwa Afghanistan kwa sasa ni kama China ilivyokuwa 1980s yani fursa kibao.

Wengine wamewekeza kwenye mahotel, wengine kwenye biashara ya kuimport vitu toka China.

Nilikuwa natazama kipindi Aljazeera kinaitwa 101 East wajasiriamali wanadai wana mpango kujenga mji wao yani China town, ambapo mle watakuwa wanaishi pasipo kufuata sheria za Afghanistan na tamaduni zao. Na mle wenyeji hawatakuwa wanaruhusiwa kuingia hasa kwenye makazi yao.
 
Nilikuwa natazama kipindi Aljazeera kinaitwa 101 East wajasiriamali wanadai wana mpango kujenga mji wao yani China town, ambapo mle watakuwa wanaishi pasipo kufuata sheria za Afghanistan na tamaduni zao. Na mle wenyeji hawatakuwa wanaruhusiwa kuingia hasa kwenye makazi yao.
Taliban wameruhusu hili ?
 
Ila hapo kwenye kujenga 'Chinese city' ndani ya ardhi yao na wasifuate sheria za kiislamu sidhani kama itakuwa rahisi
Ndani ya mji wao humo humo. Watafanya yao wanawake nywele wazi na mengine.
 
Vip waislamu wa uighur kile kichapo wanachopewa na China Taliban wamekubali mkuu?
Taleban wanamkubali mchina jamaa kafungua hotel huko kaona milipuko inazd maana wanakili muda wowote milipuko tu kawaambia serikali wampe jeshi wakampa.
Halafu ujue zile ndege 75 wamarekani walizoacha wameharibu sasa hivi zote zimetengenezwa hadi wanashangaa nani kawasaidia zitengeneza
 
Taleban wanamkubali mchina jamaa kafungua hotel huko kaona milipuko inazd maana wanakili muda wowote milipuko tu kawaambia serikali wampe jeshi wakampa.
Halafu ujue zile ndege 75 wamarekani walizoacha wameharibu sasa hivi zote zimetengenezwa hadi wanashangaa nani kawasaidia zitengeneza
China ni shetan marekan anasubir.
 
Back
Top Bottom