Nyama 1 LB (isiyo na mifupa katakata vipande vidogo vidogo).
Thomu na Tangawizi iliyosagwa 1 kijiko cha supu
Pilipili manga ya unga 1 kijiko cha chai
Sosi ya Soya (soy sauce) 2 vijiko vya supu
Chumvi kiasi
Karoti 1
Maharage ya kijani (spring beans) 1 kikombe
Pilipili mboga kijani 1
Kabeji 2 vikombe
Vitunguu vya kijani 2 miche
Mafuta ½ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1) Katakata nyama vipande virefu vidogo vidogo.
2) Roweka Nyama kwa chumvi, thomu na tangawizi, pilipili manga, sosi ya soya kwa muda kama saa.
3) Katakata karoti vipande virefu virefu vidogo kiasi.
4) Katakata pilipili mboga
5) Kata Kabeji nyembamba kiasi.
6) Weka mafuta katika karai kaanga nyama mpaka iwive.
(Karai nzuri kutumia ni ya kichina inayoitwa 'wok' lakini sio lazima)
7) Weka karoti na maharage ya kijani (spring beans) endelea kukaanga kwa dakika chache tu.
8) Usiwache mboga zikawiva sana.
9) Tia kabeji na pilipili mboga na ukaange kwa dakika 1
10)katia vitunguu vya kijani
Tayari kwa kuliwa..
Thomu na Tangawizi iliyosagwa 1 kijiko cha supu
Pilipili manga ya unga 1 kijiko cha chai
Sosi ya Soya (soy sauce) 2 vijiko vya supu
Chumvi kiasi
Karoti 1
Maharage ya kijani (spring beans) 1 kikombe
Pilipili mboga kijani 1
Kabeji 2 vikombe
Vitunguu vya kijani 2 miche
Mafuta ½ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1) Katakata nyama vipande virefu vidogo vidogo.
2) Roweka Nyama kwa chumvi, thomu na tangawizi, pilipili manga, sosi ya soya kwa muda kama saa.
3) Katakata karoti vipande virefu virefu vidogo kiasi.
4) Katakata pilipili mboga
5) Kata Kabeji nyembamba kiasi.
6) Weka mafuta katika karai kaanga nyama mpaka iwive.
(Karai nzuri kutumia ni ya kichina inayoitwa 'wok' lakini sio lazima)
7) Weka karoti na maharage ya kijani (spring beans) endelea kukaanga kwa dakika chache tu.
8) Usiwache mboga zikawiva sana.
9) Tia kabeji na pilipili mboga na ukaange kwa dakika 1
10)katia vitunguu vya kijani
Tayari kwa kuliwa..