Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
chinga boyzz, ni dalili mbaya maana hata Bukombe, Kagera, Singida, matukio ya kutumia nguvu yanajitokeza.
Tume itaundwa kubaini tatizo
Itabidi apelekwe Sauzi Afrika kwa matibabu
Inasemekana Meya Wa Jiji La Dar Es Salaam Mh Jumaaa Amepasuliwa Na Jiwe Kichwani Baada Ya Kuingilia Ugomvi Kati Ya Mgambo Wa Manispaa Na Wamachinga
Itabdi, maana wakimpeleka Muhimbili unaweza ukakuta anapasuliwa uti wa mgongo badala ya kichwa!