tena pale unapoanza kuonyesha mafanikioSasa hapo ndio kaanza kukutana na Mtz original. Huwa mtz ana unafiki wa chini kwa chini 🤣
Hii ni SPANA na Semi umepiga kwenye bajaji si utauua?Chino wanamane sio msanii na hana shabiki yoyote. Unawezaje kuandaa show sehemu kama kidimbiw ukitegemea mwanangu mwanangu
Ni kijana aliyetrend kwenye muziki kama kina hamorapa jaiva nk
Mimi napenda ngoma yake ile aliimba na fid ile sijui anamtaja yesu nyingine nazisikia sikia tu hasa ile intro yake chino wanaman nikiisikia natabasamu.Huyu dogo anajiona mkubwa kuliko uwezo wake...Huyu na marioo wamakurupa kama malegends vile kumbe bado chipukizi.
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji1787]Nimependa alipomalizia TUKUZANGU nafikiri nitamsapot machinga mwenzangu
akipelekwa wasafi hapo kwa mziki wake huo huo wa kitapeli{trends}ataiingizia kampuni pesa kuliko msanii yeyote aliyewahi kusajiliwa hapo ukiondoa harmonize😂😂.Chino wanamane sio msanii na hana shabiki yoyote. Unawezaje kuandaa show sehemu kama kidimbiw ukitegemea mwanangu mwanangu
Ni kijana aliyetrend kwenye muziki kama kina hamorapa jaiva nk