kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Yes....zamani ilikua dar sikuhizi chipsi ni chakula cha taifa nendeni arusha,moshi,mwanza,mbeya,dodoma,tanga,zanzibar, singida bukoba (hiyo mikoa nimeitaja maana nimeshafika) muone watu wanavyokula viepe/zege/chipsi kama vile hawana akili timamu yaani chipsi ni chakula cha taifa....
Asikwambie mtu huwa najiuliza aliyegundua chipsi mayai hahaha sijui aliwaza nini maana sio kwa jinsi wanavyozifakamia kama vile zitaisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chipsi mayai hazitatuacha salama sisi wanaume wa mikoani maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asikwambie mtu huwa najiuliza aliyegundua chipsi mayai hahaha sijui aliwaza nini maana sio kwa jinsi wanavyozifakamia kama vile zitaisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chipsi mayai hazitatuacha salama sisi wanaume wa mikoani maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]