Chipsi na ugonjwa wa macho

Chipsi na ugonjwa wa macho

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi.

Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?
 
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi,Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?

Chips ni viazi vilivyopikwa/kaangwa kwa mafuta yaliyochemshwa?

Ngoja nasi tukuulize swali jepesi tu

Je, viazi au mafuta huwa vinapofusha macho?
 
Chips ni viazi vilivyopikwa/kaangwa kwa mafuta yaliyochemshwa?

Ngoja nasi tukuulize swali jepesi tu

Je, viazi au mafuta huwa vinapofusha macho?
Hapo ndio sijui kwasababu mtaalamu ndio alitoa majibu hayo
 
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi.

Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?
mhhh uongo huo kwakweli.. sidhani kama hivyo vitu vina relate
 
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi.

Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?

Hapo tafsiri yake ni kwamba kwenye viazi hakuna vitamin A, yaani ni zero vitamini A ,ninavyokusaidia wewe kuona vizuri.

Sasa macho yako utaona vipi vizuri na wakati haulivyakula vya kuimalisha macho,wewe kila siku chipsi nafasi ya kula carot na spinachi wewe unakula chips.

Ukiacha kula chips hizo kuna chakula kingine utakuwa unakula vitakusaidia kwenye macho.
 
Mwambie kama anaamini asiliani huku ,bas atafute vifuu ya nazi anavisafisha vizuri tu anavichoma anasaga anapata unga wake. Alafu kjiko 1 kwenye maji ya vuguvgu kikombe kmoja kutwa mara 2 ndan ya wok 2....3 atapona
 
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi.

Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?
Sasa chipsi zimeingiaje katika eneo la macho?! Wabongo bwana.

Mwambie achemshe bamia achuje, yale maji ya bamia anywe kama anavyokunywa juice yoyote. Kuanzia lita moja. Afanye hivyo mara tatu kwa wiki.
 
baada ya kwenda hospitali yeye anaenda vijiweni kuuliza matatizo yake ya mwili
 
Sasa chipsi zimeingiaje katika eneo la macho?! Wabongo bwana.

Mwambie achemshe bamia achuje, yale maji ya bamia anywe kama anavyokunywa juice yoyote. Kuanzia lita moja. Afanye hivyo mara tatu kwa wiki.
Itasaidia kweli?
 
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi.

Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?
Aende kumwona daktari wa macho asisikilize ya mitaani ya kula chips.

CCBRT ipo pale Msasani
 
Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na ugonjwa wa macho?
Ukitohoa kwa mbaaaaali na kwa sio mbali sana unapata tu uhusiano haikatai. Unajua kila kitu kipo connected.

Mfano1. Anapokula chipsi haiendani na mboga za majani, na mboga za majani zafaa kwa macho so kuzikosa mara kwa mara inakuwa atahari kwa macho.
2. Chipsi ina viazi vilivyounguzwa kwenye mafuta yaliyochemka sana, so vyote vina vi free radicals ambavyo huzeesha sehemu vinaposhambulia. Mbaya zaid akashushia na soda. See! Suluhisho hapa ni kupata juisijuisi vitamini C na Es.
3. Upishi wa chipsi unahisisha kuweka viazi kwenye mafuta ya moto je yakiruka yakamrukia machoni akaungua macho😲🤭🤭
4. Chipsi wakifunga kwenye foili halafu akalia kwenye jua kali na hajavaa miwani mwanga unaakisi unaumiza macho 😂😂😂😂😂.

Sorry tuwe siriazi, labda 'dokta' kaona tu jamaa anakula chipsi na kuacha vyakula vingine kama mbogamboga, matunda na juisi. So chukua pointi ya kwanza na ya pili tu mzeebaba.
 
Hata nguvu za kiume tunaambiwa chips ...ikija pressure nayo chips...

Bado chips kupewa lawama za kupandisha mishahara tu
 
Back
Top Bottom