Chirwa anatupa somo kuwa Wachezaji wanapaswa kulipwa madeni yao kabla ya mechi mhimu

Chirwa anatupa somo kuwa Wachezaji wanapaswa kulipwa madeni yao kabla ya mechi mhimu

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Alichokifanya Chirwa ni kufikisha ujumbe kuwa wachezaji wawe wanalipwa stahiki zao kwani wanaweza wakanya kitu ambacho kitailiza timu na kuokost.

Yanga timu yangu pendwa tuache janja janja za kuwatumia wachezaji huku hatuwalipi wanajikuta wanahangaika kupiga vibarua kama ambavyo amekuwa akionekana mchezaji wetu Chirwa akipiga vibarua kwenye madhamba ya mahindi
Ni hayo tu
 
Sawa tumeuchukua ushauri wako.
Tunaanza kwanza kumaliza deni la Okwi.
 
Tutamlipa afu tutaomba mechi irudiwe apige penati vizuri
 
Wabongo bana mnataka kutuaminisha kuwa jamaa kakosa penati kwa sababu adai? What if angefunga penati ile?
 
kuchezesha watu kwa mazoea, hakukuwa na ulazima wa kuwachezesha chirwa, wala kipa maana vijana walionesha uwezo mkubwa

yaani wakamtumia nauli yule bwana aje apige penati ya kipuuzi vile.
 
Chirwa anavyoandamwa ananikumbusha Mechi ya Fainali Afrika Mashariki na Kati 1992 ilichezwa Zaznzibar Kati ya Simba na Yanga na Timu zikaenda kwenye mapigo ya Penalt

Penalt ya Mwisho ya Yanga alipiga David Mwakalebela akaipaisha tangu hapo Saikolojia ya Mwakalebela haikurudi sawa kwa kejeli za Mashabiki
 
Alichokifanya Chirwa ni kufikisha ujumbe kuwa wachezaji wawe wanalipwa stahiki zao kwani wanaweza wakanya kitu ambacho kitailiza timu na kuokost.

Yanga timu yangu pendwa tuache janja janja za kuwatumia wachezaji huku hatuwalipi wanajikuta wanahangaika kupiga vibarua kama ambavyo amekuwa akionekana mchezaji wetu Chirwa akipiga vibarua kwenye madhamba ya mahindi
Ni hayo tu
Nadhani somo ambalo tunatakiwa tujifunze ni kutochezesha mchezaji ambaye hajawa na timu yake au club yake ktk mazoezi ya pamoja na ktk mechi walizochezaja team mate wenzie...

Ishu ya kuhusisha kukosa penalt na kutolipwa nadhani tunakosea..Wangap wanalipwa pesa ndefu halafu wanakosa penalt tena ktk tournament kubwa??

Soka la bongo halifati sayansi halisi ya mpira...Mchezaji hayupo kambini wiki au zaidi ya wiki lkn anafika siku hiyo anapata nafasi ya kucheza huku kuna watu waliofia timu hadi kufika pale ilipo ila wanawekwa bench kisa acheze flan!

Tunakosea tena sana...Ulaya hakuna upimbi huo...Wenzetu hata kama wamekusajili ni star ila kama huna mazoezi ya pamoja na timu huwezi kucheza...

Kukosa penalt kwa Chirwa ni kawaida tu ktk futbal..Hata hivo mlitaka nani akose?? au mlitaka URA atolewe??

Kosa ni hili viongozi kumpa nafasi acheze wakati hana mazoezi na timu kwa muda
 
Alichokifanya Chirwa ni kufikisha ujumbe kuwa wachezaji wawe wanalipwa stahiki zao kwani wanaweza wakanya kitu ambacho kitailiza timu na kuokost.

Yanga timu yangu pendwa tuache janja janja za kuwatumia wachezaji huku hatuwalipi wanajikuta wanahangaika kupiga vibarua kama ambavyo amekuwa akionekana mchezaji wetu Chirwa akipiga vibarua kwenye madhamba ya mahindi
Ni hayo tu
Uko sahihi. Hata Roberto Baggio alipokosa penalti na kuipa Brazil Kombe la Dunia kule Marekani alikuwa akiidai nchi yake stahiki zake!
 
Siku ile na green worious Mkude alikosa panati! Hivi naye anaidai Simba? Chirwa amekosa penati kama wanavyokosa wengine, la kushangaza ni yeye kupangwa wakati hakuwa na mazoezi ya pamoja na wenzake!
 
Ulichosema ni kweli ila sidhan kama ili lilikua ndo shida ya yeye kukosa penalt, no! ila ilitokea tu akakosa na iyo hutokea kwa mchezaji yeyote duniani.
 
Back
Top Bottom