Chirwa, Ngoma wanaisaidia Azam?

Labda viatu vyao viko kwa akulimali sasa wanacheza peku
 
Kipindi wanaipa timu point hukuja kusema.. sasahv wamepoa ndio useme.
 
Ndugu umewasahau watz kwa ujuaji.Tuna ujuaji mwingi wakiswahili hadi tunakera.
 
Mwanzo walianza vizuri Ila baada ya kuanza kufuata nyayo za wakongwe wamepotea njia maana wanaokoteza mizoga tu
 
Azam walionywa na Rais Kikwete wasijihusishe na Simba au Yanga lakini walimpuuza wakakubali kuonyesha mahaba na moja ya timu hizi mbili zilizofeli kifikra.
 
Kukuza vipaji ni suala moja na kununua wachezaji ni suala lingine. Katika soka yote muhimu. La Macia ya Barcelona inatoa wachezaji na bado wananunua, tena wananunua kwa bei mbaya.

Ktk soka, usajili ni kama kamari. Mchezaji mzuri, lkn akija kwako anaweza kufeli. Casillas wa Coastal Union, aliwika Mtibwa akaenda SIMBA, akafeli! Hamis Diedo aliwika YANGA, kufika SIMBA, Majanga! Emmanuel Sheyi Adebayor alikuwa moyo kwa Wenger, alipoenda City, Madrid na Tottenham hakuna alichofanya kwenye Pitch! Leo Sanchez anaonekana kituko pake United! Juan Sebastian Veron alifeli MAN U, akaenda zake Italy, aliporudi EPL kwa Chelsea akawa moto! Mo Sala alifeli Chelsea, leo wa moto pale Liverpool!

Ngassa alikuwa wa moto YANGA, lkn alipotua Azam na SIMBA hakuna cha maana alichofanya! Mtibwa waliwahi kumuuza ZUNGU kwenda SIMBA na baadae MKOPO Azam, Zungu hakuwa bora km alivokuwa Mtibwa!

Leo kwenye SPORTS AM ya Azam Sports, HAMIS KINYE akiwa na SUNDAY MANARA, KINYE analalamika MADALALI wamejaaa SIMBA na YANGA plus 10% na matokeo yake uwanjani hakuna ubora wa mechi za watani!

Sio mara zote usajili wa mchezaji nyota unaweza kukulipa! Usajili ni km BAHATI NASIBU!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukuza vipaji ni suala moja na kununua wachezaji ni suala lingine. Katika soka yote muhimu. La Macia ya Barcelona inatoa wachezaji na bado wananunua, tena wananunua kwa bei mbaya.

Ktk soka, usajili ni kama kamari. Mchezaji mzuri, lkn akija kwako anaweza kufeli. Casillas wa Coastal Union, aliwika Mtibwa akaenda SIMBA, akafeli! Hamis Diedo aliwika YANGA, kufika SIMBA, Majanga! Emmanuel Sheyi Adebayor alikuwa moyo kwa Wenger, alipoenda City, Madrid na Tottenham hakuna alichofanya kwenye Pitch! Leo Sanchez anaonekana kituko pake United! Juan Sebastian Veron alifeli MAN U, akaenda zake Italy, aliporudi EPL kwa Chelsea akawa moto! Mo Sala alifeli Chelsea, leo wa moto pale Liverpool!

Ngassa alikuwa wa moto YANGA, lkn alipotua Azam na SIMBA hakuna cha maana alichofanya! Mtibwa waliwahi kumuuza ZUNGU kwenda SIMBA na baadae MKOPO Azam, Zungu hakuwa bora km alivokuwa Mtibwa!

Leo kwenye SPORTS AM ya Azam Sports, HAMIS KINYE akiwa na SUNDAY MANARA, KINYE analalamika MADALALI wamejaaa SIMBA na YANGA plus 10% na matokeo yake uwanjani hakuna ubora wa mechi za watani!

Sio mara zote usajili wa mchezaji nyota unaweza kukulipa! Usajili ni km BAHATI NASIBU!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa
MTC | 101| [emoji769]
 
Nimekuelewa

MTC | 101| [emoji769]
Kwa miaka ya Karibuni, ukiacha THIERRY HENRY na CESC FABREGAS, Barcelona waliwanunua kutoka Arsenal wachezaji kama ALEXANDRA HLEB. ALEXANDRA SONG na THOMAS VERMALEN, na wote walinunuliwa wakiwa Ktk viwango bora kabisa pale Arsenal, lkn walipofika NOU CAMP, walikuwa kama wana Matende!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanapoint ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…