CHIT CHAT: Eti Zitto Kabwe hamuogopi Magufuli

OGTV

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2016
Posts
353
Reaction score
167
Kiongozi wa chama cha ACT wazalendo ametoa ufafanuzi wa habari zilizotapakaa kuwa anasakwa na polisi kwa udi na uvumba na kutoa yake ya moyoni
 
Magufuli jukwaani tu. Nje ya hapo.....
 
Kwani nani anamuogopa. Hii dhana ya kuogopana haipendezi kwa nchi yenye dhamira ya kujenga demokrasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…