OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
upo sawa mkuu. Ila hii ndio rangi yake halisi imekuwa ngumu kuificha, aachwe afurahie maisha yakeHiki ndo kitu kinamfanya afeli, kutaka kushindana na mashabiki
Wachezaji wengi wametoka Yanga SC kwenda Simba SC na wakafanikiwa and vise versa na siri yako ilikuwa ni kukaa kimya na kufanya kazi ground
Ila huyo chizi anataka kushndana na mashabiki, Kila la heri kwake
Huu ni udikteta.Hiki ndo kitu kinamfanya afeli, kutaka kushindana na mashabiki
Wachezaji wengi wametoka Yanga SC kwenda Simba SC na wakafanikiwa and vise versa na siri yako ilikuwa ni kukaa kimya na kufanya kazi ground
Ila huyo chizi anataka kushndana na mashabiki, Kila la heri kwake
Kwa yanga atasalimu amri,subiriupo sawa mkuu. Ila hii ndio rangi yake halisi imekuwa ngumu kuificha,aaachwe afurahie maisha yake
Asalimu kwa lipi sasa unafikiri enzi za malinzi hizi..Mlogeni sasa au unafikiri yeye hana kwaoKwa yanga atasalimu amri,subiri
Amejipanga wakijaribu tena busha linaenda kwa tapeli Mwakalebelamuacheni atupe raha au mumroge tena!?
Makenge mnajuanaKenge huyu
Manaona kwa karibu sana,ila itamkost ngoja tuendelee kuishi nae!upo sawa mkuu. Ila hii ndio rangi yake halisi imekuwa ngumu kuificha,aaachwe afurahie maisha yake
Anawakera kweli kweli.Manaona kwa karibu sana,ila itamkost ngoja tuendelee kuishi nae!
Siku akijua kuzungumza kiswahili wengi watakoma ubishi,kiswahili ni lugha rahisi akipata demu wa bongo ataongea tuuu!