MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Mojawapo ya dawa hizo ambayo tayari imejaribiwa katika binadamu ni dawa ya remdesivir - dawa ya virusi vya UKIMWI ambayo bado inafanyiwa utafiti ambayo imejaribiwa dhidi ya magonjwa kama vile Ebola na SARS/MERS.
Dawa nyingine ni ile aina ya Chloroquine, dawa ya kukabiliana na malaria ambayo pia ina uwezo wa kukabiliana na virusi.
Inajulikana kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi.
Haki miliki ya picha: GETTY IMAGES
Image caption: Dawa za kukabiliana na virusi zimependekezwa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Ural Federal, Urusi kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya Corona.
Dawa nyingine ni ile aina ya Chloroquine, dawa ya kukabiliana na malaria ambayo pia ina uwezo wa kukabiliana na virusi.
Inajulikana kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi.
Haki miliki ya picha: GETTY IMAGES
Image caption: Dawa za kukabiliana na virusi zimependekezwa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Ural Federal, Urusi kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya Corona.