Mkeshahoi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2009 Posts 2,469 Reaction score 284 Dec 8, 2010 #1 Mamiss na warembo... wajisikaje unapotongozwa/chombezwa na jamaa kupitia sms...tofauti na zamani ambapo anaetaka kutangaza nia anakukabili uso kwa macho?:hug::hug:
Mamiss na warembo... wajisikaje unapotongozwa/chombezwa na jamaa kupitia sms...tofauti na zamani ambapo anaetaka kutangaza nia anakukabili uso kwa macho?:hug::hug:
I Ikunda JF-Expert Member Joined Jul 12, 2010 Posts 718 Reaction score 152 Dec 8, 2010 #2 huwa sijibu, kwa kuwa najisikia au naona men mwenyewe hajitambui, hajiamini.
Mkeshahoi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2009 Posts 2,469 Reaction score 284 Dec 8, 2010 Thread starter #3 Ikunda said: huwa sijibu, kwa kuwa najisikia au naona men mwenyewe hajitambui, hajiamini. Click to expand... lanikini ndo zama za leo.... watu wanachomekeana/wanategana sana kupitia Simu hasa sms!!
Ikunda said: huwa sijibu, kwa kuwa najisikia au naona men mwenyewe hajitambui, hajiamini. Click to expand... lanikini ndo zama za leo.... watu wanachomekeana/wanategana sana kupitia Simu hasa sms!!