Chombezo: Bao tatu za mgeni!

,,,,,
 
Ahsante sana wadau mliofanya juhudi hii stori kuwa hapa.
 
Stor iko vizur sanaa, japo kuna sehem umemchanganya sana mzee jomo na mzee mtata
 
Ama kwa hakika story hii ilikuwa tamu Sana,ahsante kiongozi,Nini alikifanya Lucas mjini mpaka akakimbilia kijijini?
 
Whatch part 2

Ilikua bongo movie moja mwaka 2008


Oprah !!!

R.I.P kanumba!

Nadanganya wadau?
 
Hii story imenimalizia bia nyingi sana pongezi nyingi
Sema mzee mtata kafanyiwa mambo ya mzee nyange
 
Safi sana!! Bongo movie wanakwama wapi?
 
nimeusoma kwa juhudi zote nikitegemea nitakuta kipande mama zubeda akipelekwa kwa mpalange na mzee mtata
umenikatili sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…