BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kwa lengo gani wafanye hivyo? Yaani watu wapoteze fedha kwa ajili ya kuaminisha dunia uongo? Wewe ukipiga video call unaaminije kuwa unaongea na mtu halisia on the other side? Hata hivyo, una uhuru wa kuamini au kutoamini.
Safi kabisa, thibitisha hilo.anayekosolewa ni yule ambaye tayari ana idea, wewe huna
Hizi habari unazithibitisha vipi kama za kweli ? Hili swali mbona rahisi sana mnalikimbia ?kuna maji chini ya surface ya mars ambayo yanaweza kushikilia oxygen ya kutosha kuweza kusaidia maisha kwa viumbe vilivyopo duniani.
Na mars sio kwamba hakuna oxygen kabisa bali ipo kwa kiwango kidogo kulinganisha na carbon dioxide iliyo tawala
Lack of political will sababu wao ndo waidhinishi fedha, plus mazingira ya cold-war yalimotivate kwenda mwezini, na tatu kipaumbele ni kwenda Mars na sio mwezinHivi kwanini hawakurudi tena mwezini. Tafiti za mwezini ziliishia wapi au ziko classified huko kwao!
Sio lazima uamini na hujalazimishwa kuamin we endelea hivyo hivyo kutokuamini utapungukiwa na kitu usichoshe watuSafi kabisa, thibitisha hilo.
Pili, hata asiye jua kabisa anakosolewa kwa aidha anahisi anajua kumbe hajui na hajui kama hajui. Kijana unaonekana aidja sayansi uliisoma ila ukatoka patupu au huijui kabisa ila unashabikia tu ndiyo maana kujenga hoja juu ya hii mada huwezi, unarukia rukia hoja za watu.
Tatu, humu nimewauliza maswali mnakimbia kimbia.
Sasa ndiyo muache kutuhubiria habari ambazo hamna elimu nazo na msizoweza kuzijengea hoja.Sio lazima uamini na hujalazimishwa kuamin we endelea hivyo hivyo kutokuamini utapungukiwa na kitu usichoshe watu
Hili ni jukwaa huru Kama hujapendezwa na habari unaipotezea ujashikiwa fimbo, wako ambao wako interested wewe Kama hauna ni wewe usitake watu waishi Kama unavyotaka weweSasa ndiyo muache kutuhubiria habari ambazo hamna elimu nazo na msizoweza kuzijengea hoja.
Nyinyi huwa nawaita "Mashabiki wa Sayansi".Bila shaka unazijua tabia za mashabiki.
Sawa nakubali tueleweshane ila kabla ya yote ningependa kujua unavijuaje hivi vitu?Hizi habari unazithibitisha vipi kama za kweli ? Hili swali mbona rahisi sana mnalikimbia ?
Ni sawa nikuulize,je unahakikisja vipi historia yoyote unayo iamini wewe kuwa ni ya kweli ? Ukishindwa swali hili na hilo la hapo juu, tunahitimisha ya kuwa nyinyi huwa mnaamini vitu kichwa mchunga yaani kububusa tu. Sasa msilazimishe na sisi tuwe mazwazwa kama nyinyi, hizi akili tumepewa bure lazima tuzitumie katika usawa siyo kupenda stori na utoto mwingi.
Nawakumbusha tu ya kuwa muwe mnajibi maswali ninayo wauliza.
Usipoteze mda wako kumuelewesha huyo anapinga kila kituSawa nakubali tueleweshane ila kabla ya yote ningependa kujua unavijuaje hivi vitu?
Isije ikawa hata uwepo wa sayari ya mars unapinga, ni bora kuelewa mapema tuwekqne sawa zaidi ili nijue ni kiasi gani unayaelewa mambo ya anga kabla hatujafika mbali
Sasa jambo gani ambalo unaona limekosekana kuweza kuifanya habari hiyo iwe kweli?Safi kabisa, thibitisha hilo.
Pili, hata asiye jua kabisa anakosolewa kwa aidha anahisi anajua kumbe hajui na hajui kama hajui. Kijana unaonekana aidja sayansi uliisoma ila ukatoka patupu au huijui kabisa ila unashabikia tu ndiyo maana kujenga hoja juu ya hii mada huwezi, unarukia rukia hoja za watu.
Tatu, humu nimewauliza maswali mnakimbia kimbia.
Huyu namjua vizuri anakiubishi flani cha kitotoUsipoteze mda wako kumuelewesha huyo anapinga kila kitu
swali ni,Sayari yenye UHAI NI moja tu. Na MUNGU ndo ameshapanga hivyo na itabaki kuwa hivyo.
Kwa kifo cha Osama "alipoteza" kiasi gani ? Unafikiri walimuua Osama ili tu waonekane juu na si kwa sababu yeyote ya msingi ?Chief , Mzungu yuko tayari apoteze pesa nyingi ili tu aonekane yuko higher than others...refer kifo cha osama ndio utajua hawa sio wa kuamini aise....
mbinguni ndio wapi asee?Naanzia hapa,suala la budget waesema lini au umejiaje kama budget ni kubwa? Umbali wa kwenda Mars na Mwezini unatofautiana vipi na changamoto ni zipi ? Bajeti hiyo ni kiasi gani wanayo
Kuna swali nilikuuliza wewe unahihikisha vipi ya kuwa kweli wameenda Mwezini au Mars? Marejeo yako wewe ni yapi? Hili swali hujalijibu. Kwamba je kwa kuona picha au kusikia habari?
Hapa naona unawachoresha Wanasayansi na kuwafanya tuwaone wamebweteka. Kisayansi walitakiwa mpaka sasa hivi wawe wameshaenda zaidi ya mara kumi sababu ni zaidi ya miongo mitatu tangu tuambiwe Nail alikwenda mwezini. Maana yake walitakiwa wawe wameshabuni vifaa vyenyw ufanisi mkubwa na kwa gharama nafuu.
Labda watuambie ya kuwa gharama imekuwa kubwa zaidi ya kuandaa movie kama hiyo, au wameshajua ya kuwa watu wameshawaona wao mazwazwa kwa kuigiza tukio hilo pale Area 51.
Lakini suala la uzandiki juu ya tukio la mwezini mbona limeshabatilishwa tangu zamani na husemwa pia sababu ya kifo cha John F. Kenedy ni kufichua siri au kutaka kufichua mbinu hiyo. Kihistoria husemwa ya kuwa hiyo ilikuwa ni vita baina ya USSR na Marekani katika kuonyeshana umwamba maendeleo ya kisayansi.
Mimi siyo kwamba nadhani bali nina uhakika kabisa.
Watuambie kwanza umbali wa kutoka katika uso wa dunia mpaka mwezini ni kiasi gani ? Bila kuweka Assumtions yoyote ile, wakiweka tu Assumptions wameharibu.
Pili, walitumia vigezo gani kutengeneza kifaa ambacho walijua fika kitawapeleka na kuwafikisha mwezini ? Hapa inabidi watuambie. Maana yake kabla inabidi ufanya ufanue utafiti, na utembelee sehemu husika. Tafiti hii ilifanyika wapi na kwa kutumia nini ?
Sasa unapohoji haya mambo ndipo unapoona ya kuwa hili ni igizo na wengine walithibitisha hilo.
Tatu, kiimani jambo hili hali wezekani, sababu hakuna anaejua ya kuwa Mwezi uko umbali gani toka mbingu ya kwanza ila kwa macho ukiangalia vizuri unaona ya kuwa mwezi uko karibu sana na mbingu ya kwanza kuliko ardhini, yaani duniani. Tunaambiwa umbali wa mbingu ya kwanza na dunia na mbingu na mbingu ni mwendo wa miaka 500. Hii ni kwa mwendo kasi wa juu zaidi (Rejea jaya katika kitabu kiitwacho "Qamus al Bida'ah" ). Maana chini ya muda huo hizo zinabaki kuwa stori tu na kufurahisha nafsi.
Tatu, zipo sababu za kisayansi zinazo pinga igizo hilo. Unaweza kuzifatilia Google ukazipata. Ukisearch "Did we land on the moon". Utaona mambo mengi wapo wanao thibitisha ya kuwa tukio hilo ni kweli na wale wanao kadhibisha tukio hilo, ukipima katika mzani utaona ya luwa hawa wapili wana hoja zenye nguvu mno kuliko wengin, na hao wa kwanza wameanza kuja kuandika hayo hivi karibuni.
Narudi kuendelea hapa nilipoishia.
angaNimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
picha haihusiani na tulio halisi Bali hutumika kuelezea na kuonyesha jinsi mission inavokuwaKuna vitu mi nashindwa kuviamini hasa inapotokea nguvu kubwa yakutaka niamini... sasa hiyo picha kaipiga nani aliyekua katangulia huko chombo kinapotua?
Asante kwa majibu mazuri ambayo hayajajibu mshangao wangu... ninachotaka kujua camera iendeshwe na sensor au iwe kwenye stand, drone au robot....Sensor inafungwa kwenye camera nyngne kwenye chombo pia au sehemu nyingne yyte ndani ya chombo kutokan na uhitaji. Sas kinachofanyika sensor ina uwezo wa kubadlisha badliko la kitabia kuwa umeme. Sas ko wanaweza sema labda wafunge sensor ya joto ina maan ikifika sehem ikatokea badliko la joto sensor itatoa taarifa kwa umeme. Ko kuna action itafuata ya kiumeme nd kama switching ya camera. Pia wanaeza funga sensor ya umbali it means wanaset umbali fulani ukifikiwa basi sensor itatoa taarifa ya kiumeme kuruhusu action fulani ambayo kwa case yetu ni switching ya camera on.
hiyo speed si mchezo bora kuisoma tuu ila ukiivutia picha uhalisia wake aisee hiyo ndio kufumba na kufumbua. Mara paap umefika.Yaani hii balaa chombo hiki kimekimbia muda wa miezi sita
...speed yake km 85 kwa sekunde moja kam sio uongo nini wazungu ni waongo sana wanataka kututoa kwenye reli kuhusu corona tu
hakuna mahali nimepinga kwa bila bila oxygen mtu hawez ishi but usichojua with right component oxygen can be generated.
kwa taarifa yako tu ni kuwa oxyhen can be generated kwa mashine maalum na wataalam wakatumia kwa muda huo watakuwepo na kurudi nyumbani.