Chonde chonde kinamama!

mhhhhh! kuna tunaoheshimiana naogopa kujibu ila nimeelewa kilichoandikwa! Hata sielewielewi kama nimeelewa au lah! kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake na jinsi zinavyoota ni tofauti kama zinvyonyolewa.

Nilichungulia tu, naenda zangu!
 
Kweli Kabisa. Hiki kichwa safi sana kina sifa zifuatazo;- 1. Hakina Macho lakini kinaona ingawa kinaishi mafichoni. 2. Si jeuri kikiambiwa kiingie kwenye handaki kinaingia kwa hari na speed kubwa 3. Hakina miguu lakini kinasimama wima kama mshale 4. Kazi yake NI NZURI na inadhaminiwa na kupendwa kuliko hata chakula Kweli hii ndiyo tofauti kubwa tuliyonayo kati y wanaume na .............
 

haaah haah dah Jf bana haaah
 
Kweli Kabisa. Hiki kichwa safi sana kina sifa zifuatazo;- 1. Hakina Macho lakini kinaona ingawa kinaishi mafichoni. 2. Si jeuri kikiambiwa kiingie kwenye handaki kinaingia kwa hari na speed kubwa 3. Hakina miguu lakini kinasimama wima kama mshale 4. Kazi yake NI NZURI na inadhaminiwa na kupendwa kuliko hata chakula Kweli hii ndiyo tofauti kubwa tuliyonayo kati y wanaume na .............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…