Bishanga habari yako?
Hivyo vichwa vyenu vya 'downstairs' havina adabu kabisa.
<br />Kisukari ukiona m.ume ana vichwa 2 lakini ametulia kama m.mke ujue kimoja hakifanyi kazi sawa,. acha kubishia kazi ya uumbaji bana
Kweli Kabisa. Hiki kichwa safi sana kina sifa zifuatazo;- 1. Hakina Macho lakini kinaona ingawa kinaishi mafichoni. 2. Si jeuri kikiambiwa kiingie kwenye handaki kinaingia kwa hari na speed kubwa 3. Hakina miguu lakini kinasimama wima kama mshale 4. Kazi yake NI NZURI na inadhaminiwa na kupendwa kuliko hata chakula Kweli hii ndiyo tofauti kubwa tuliyonayo kati y wanaume na .............