Chonde chonde M/Mungu ibariki HARAMBEE STARS ishinde mechi ya leo

Chonde chonde M/Mungu ibariki HARAMBEE STARS ishinde mechi ya leo

Mzee wa Masauti

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
2,199
Reaction score
2,510
Kwa hizi siasa chafu za CCM na serikali yake kwenye mpira wetu.

Leo nimefunga na kuomba Taifa Stars IFUNGWE irudi nyumbani kuunga mkoo jubudi.

Kumbe Taifa stars inawakilisha serikali ya CCM badala ya Taifa.

Narudia tena TUFUNGWEEEE tuwe na amani.
 
Mimi na familia yangu tunakuunga mkono
 
Back
Top Bottom