Chonde Chonde Namawala wanakijiji Vs Kambenga

Chonde Chonde Namawala wanakijiji Vs Kambenga

bababikko

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2,696
Reaction score
4,352
Leo tena Kambenga kanyang'anya mbegu za wanakijiji wakulima lakini akazidiwa nguvu na kukimbia huku wakiacha pikipiki,jioni hii katuma askari waende kukamata watu.Kambenga hana hati ya umiliki wa mashamba hayo zaidi anatumia nakala za hukumu alizozipata kimichongo kutisha watu hata mahakamani alipotakiwa aonyeshe hati hakimu alizuia swali hilo akapeta jamani chondechonde huyu mtu analindwa utadhani ni mkubwa ndani ya serikali?
 
Kwani kambenga sikafa au kesi wamerisi wanae??.. mm mashamba yangu nmepakana nae.. videnge
 
Leo tena Kambenga kanyang'anya mbegu za wanakijiji wakulima lakini akazidiwa nguvu na kukimbia huku wakiacha pikipiki,jioni hii katuma askari waende kukamata watu.Kambenga hana hati ya umiliki wa mashamba hayo zaidi anatumia nakala za hukumu alizozipata kimichongo kutisha watu hata mahakamani alipotakiwa aonyeshe hati hakimu alizuia swali hilo akapeta jamani chondechonde huyu mtu analindwa utadhani ni mkubwa ndani ya serikali?
Ungeeleza kiundani.Kambenga ndiyo nani,yupo wapi,kafanya nini na hata hayo mashamba ni ya nani!
 
Back
Top Bottom