GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Inasemekana kwamba Kenya wamezindua ' Kifaa ' maalum ambacho kinaweza kumjua Mtu Muongo sekunde, dakika na saa yoyote ile na kwa jinsi Watanzania wenyewe wa ' Kada ' mbalimbali tunavyojijua ni ' Waongo ' wa Kutukuka na tumebarikiwa katika hilo kama kikija kuna uwezekano ' Makaburi ' mengi yakajaa upesi na ' Mochwari ' kukafurika huku Biashara ya ' Majeneza ' ikashamiri hapa nchini.
Nawasilisha.
Nawasilisha.