Simba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!Habari wadau!!
Hakuna asiyejua kuwa Klabu ya Simba inahitaji ubingwa kwa nguvu zote
na ili kufanikisha hili ni lazima Simba wampige Mtibwa sugar ugenini Leo ili kutengeneza njia …Tunajua ni mechi ngumu lakini bila ushindi ni kazi sana Kuwa bingwa.
Mechi ya Mbeya city , Tz Prison, Lipuli, Yanga, na Mtibwa yaani Leo ni mechi za Ubingwa kabla hatujamfikiria Singida utd Hawa ndio watakao Tuzuia .
Tuanze Leo
Hahahahaha basi ni kweli hawashidi hii gameSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Uchi wako ni horrible mkuu, usitembee uchi.Simba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
MhSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Utaolewa shauri yakoSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
We simba ?![emoji15]Mungu atasaidia
Heri mtu uandike ahadi unayoweza kutekeleza,mtibwa akishinda nakutumia 10,000 kwenye namba yako,na wewe simba akishinda nitumie 10,000,na watu wa kwenye uzi huu wawe mashahidiSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Simba damu na hii mechi tunashindaWe simba ?![emoji15]
NakaziaHeri mtu uandike ahadi unayoweza kutekeleza,mtibwa akishinda nakutumia 10,000 kwenye namba yako,na wewe simba akishinda nitumie 10,000,na watu wa kwenye uzi huu wawe mashahidi
Mkishinda ... Naaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] .. KufaaaSimba damu na hii mechi tunashinda
Tubeti !!Simba damu na hii mechi tunashinda
Heri hata unashuhudiaNakazia
utanikuta nakusubiri Ubungo mkuu!Simba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Kweli kabisaHeri hata unashuhudia
TubetiTubeti !!
Haya una beti nini hela au ?!![emoji38] [emoji38]Tubeti