Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
[emoji38] [emoji38]Pesa tunapeanaje hapa wewe?
Eeeehh Mola Wangu Naomba Ulifanikishe Hili La uyu Muombaji,Simba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Tena ukiwa umeshapaka vumbi la Congo [emoji23][emoji23]utanikuta nakusubiri Ubungo mkuu!
Yupo kwenye mgomo baridi anataka kumfata rafiki yake AjibHivi kwanini Mo Ibrahim hayupo hata kwenye sub?kweli mavugo ni zaidi ya Mo?....kila kocha kwanini anamwacha huyo dogo hata kwa sub
Aya nimeshakuja shahidi wa pande zote
Hahhahaha kaka bonny naona zipo nyingi sijui kwa nini sijapiga simu jamani acha nisubiri tu hizi 50 za simbaHamsin itafika simba akishinda una presha gan?
MhTena ukiwa umeshapaka vumbi la Congo [emoji23][emoji23]
Ni simba tu mkuuAsee yaani MUNGU awapendelee simba hakuna kwani sie wa mtibwa tumemkosea nini!
HahahhahahhaAya nimeshakuja shahidi wa pande zote
[emoji16][emoji16]
umejificha nyuma ya keyboard unaongea pumba kama mwanaume kweli weka details tukukabidhi kwa wana hapo Moro ili game ikiisha utimize ahadi yako.....wakutembeze na ndoga zako hadi darSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
hapo sasa!!Tena ukiwa umeshapaka vumbi la Congo [emoji23][emoji23]
Weka picha[emoji16][emoji16]
Picha ya vumbi?Weka picha
[emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji106]Aya nimeshakuja shahidi wa pande zote
Hahahhahahha
Malipo yanafanyika vp?[emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji106]
Fact !!umejificha nyuma ya keyboard unaongea pumba kama mwanaume kweli weka details tukukabidhi kwa wana hapo Moro ili game ikiisha utimize ahadi yako.....wakutembeze na ndoga zako hadi dar
mjomba anaongea kauli za kishujaa nyuma ya keyboard[emoji16] [emoji16]Fact !!
JF-PESAMalipo yanafanyika vp?