Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mjomba anazngua sanamjomba anaongea kauli za kishujaa nyuma ya keyboard[emoji16] [emoji16]
Ya vumbi ndioPicha ya vumbi?
Kupitia tigo pesa jamaniMalipo yanafanyika vp?
Hahhaha yaan nakuona tu ukikimbiaJF-PESA
chai kabisaa yaaniMjomba anazngua sana
Hahhaha yaan nakuona tu ukikimbia
Ha aha ha ha na simu zimezimwa sa hvHahhahaha kaka bonny naona zipo nyingi sijui kwa nini sijapiga simu jamani acha nisubiri tu hizi 50 za simba
Uchi wako unanini hadi ututishe sisi nani asiyejua uchi tuambie kitu kingine kama labda kumpindua raisi n.k sio maswala ya uchi ambao kila mtu anao ata ukigoogle unaona uchiSimba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
Ana kipaji ila alikua mtovu wa nidhamu kwa kutohudhuria mazoezi mbali na ivyo asingeweza kukosa first elevenHivi kwanini Mo Ibrahim hayupo hata kwenye sub?kweli mavugo ni zaidi ya Mo?....kila kocha kwanini anamwacha huyo dogo hata kwa sub
Hahhaah leo sitakupigia acha nisubirie haya mahela ya simba tu hakuna namnaHa aha ha ha na simu zimezimwa sa hv
ha ha ha ha ha umejuaje? ungeambiwa namba unayopiga imefungiwa na tcraHahhaah leo sitakupigia acha nisubirie haya mahela ya simba tu hakuna namna
[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee..JF-PESA
Sasa mashahidi tunahakikisha vp?Kupitia tigo pesa jamani
Subiri baadaeYa vumbi ndio
[emoji15] hata mi sijui [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aisee..
Sasa mashahidi tunahakikisha vp?
Hizi drama sasa[emoji15] hata mi sijui [emoji23] [emoji23]
Amekusikia mkuuTunaojali uwezo wa mtu huyu Mo ahame simba awe huru
Japo mi mnyama damu
Hahahhaha najua au ungenipa block ya kupiga kuna siku yake acha leo nisubirie 50 ya msimbazi akishindaha ha ha ha ha umejuaje? ungeambiwa namba unayopiga imefungiwa na tcra
Kuhakikisha wewe mtibwa wakifungwa inabidi huyo baba swalehe umpe no yako atume huko[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee..
Sasa mashahidi tunahakikisha vp?
Hizi mambo za badae sizipendi jana niliambiwa leoSubiri baadae