Chonde chonde Simba, shindeni mechi ya leo tuchukue ubingwa

Embu niambie vzur mdogo wetu dada anapiga Kung Fu?

C.c Sakayo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unakijua hiko kinywaji kwani aliletewa siku moja bado kidogo azime kaagiza redbull akaambiwa sijui imeisha akaletewa hiyo mpaka alienda hosptal
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unakijua hiko kinywaji kwani aliletewa siku moja bado kidogo azime kaagiza redbull akaambiwa sijui imeisha akaletewa hiyo mpaka alienda hosptal
Mngeshanisahau aki
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unakijua hiko kinywaji kwani aliletewa siku moja bado kidogo azime kaagiza redbull akaambiwa sijui imeisha akaletewa hiyo mpaka alienda hosptal
Ha ha ha si kile cha joti duuh lazma azimie aisee embu muite mwambie kuna kung fu nne kwa ajili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…