CHONDE CHONDE;SUA,MZUMBE NK LINDENI HESHIMA YA Phd.......OKOENI JAHAZI!!!

CHONDE CHONDE;SUA,MZUMBE NK LINDENI HESHIMA YA Phd.......OKOENI JAHAZI!!!

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
..Katika hali ya kuonekana kana kwamba ni kutumia vyuo vya elimu ya juu kupata umaarufu Jakaya Kikwete ameendelea kujinyakulia Phd kama nyanya sokoni...Kwa wasomi na watu makini wanaweza tambua tatizo linaloendelea nchini mwetu.JK baada ya kushindwa shule(Kukimbia umande) sasa anatumia vyuo vya elimu ya juu hasa vya UMMA kujipatia umaarafu wa bei chee..Tunapaswa kujiuliza hivi hizi Phd zote kwa lipi hasa alilotenda kwa watanzania? Tuache porojo zisizo na msingi bali tufanya tafiti makini....

Muono wangu:
Vyuo vyote vya UMMA vyenye sifa ya kutoa Phd vimemtunuku JK hizo Phd za bei chee isipokuwa SUA na MU ndio hawajampa huyu jamaa hizo sifa za kijinga..Ombi langu CHONDE CHONDE,MU na SUA okoeni jahazi la elimu linazama...........
 
Sasa akipewa phd ya mzumbe kuna hasara gan?asipewe ya sua 2,maana shule ya pale co porojo.
 
Usihofu atakuja nyanganywa ata izo alizonazo na kuzidenounce hadharani
 
mkuu inaonesha dhahiri yeye ma VC wa vyuo ndio wanaojipendekeza na kumbuka hadi kua VC lazma uwe karibu na bwana mkubwa hivo usije shangaa sikia MU na SUA nao wamempa.
 
hivi wanatumia vigezo gani kumtunuku mtu shahada ya heshima? nataka nijue kama JK anakidhi hivyo vigezo au ni mambo ya kujikweza?
 
Kwani hao ma VC si mkuu ndo anawateua kwahiyo hatuoni ajabu wakiendelea kumrundikia hizo degree ila iposiku atazitema tu
 
Vc wakiona kuna umuhimu wa kumpa phd wampe, kuna siku zitamtokea puani.
 
Ardhi tunampango wa kumpatia mwaka huu...subiri uone!!!
 
Back
Top Bottom