M Museven JF-Expert Member Joined Aug 22, 2011 Posts 629 Reaction score 449 Aug 25, 2012 #1 Chonde chonde vibaka msitufunguze usiku huu mkijifanya makarani wa sensa. Tutanyofoana firigisi hv hv. Maana wabongo bana, hawachelewi kujificha nyuma ya matukio halali kuwaliza wenzao. Mi nalala na sime ya kimasai na rungu la misumari. Shauzi yenu!
Chonde chonde vibaka msitufunguze usiku huu mkijifanya makarani wa sensa. Tutanyofoana firigisi hv hv. Maana wabongo bana, hawachelewi kujificha nyuma ya matukio halali kuwaliza wenzao. Mi nalala na sime ya kimasai na rungu la misumari. Shauzi yenu!