Chonde chonde viongozi wa dini mnatupeleka siko

Chonde chonde viongozi wa dini mnatupeleka siko

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo Tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa Ramani Katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.Lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya Yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.
 
Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo Tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa Ramani Katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.Lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya Yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.

CCM wanapowahamasisha wananchi wapie kura ya NDIYO mbona sijaona kauli yako? Au kupiga kura ya ndiyo ni sahihi ila kupiga kura ya HAANA ndo uchochezi? Kwa nini usiache democrasia ichukue mkondo wake? Democrasia ni pale mawazo mawili au zaidi yanapokuwa mezani na mwenye wazo akashawishi wazo lake likubaliwe. Hiyo ndo democracy sasa sijui wewe umekuwaje. Inawezekana umeguswa na Tangazo la Paroko. Utakuwa CCM tu wewe.
 
Dah! Pole sana ndugu katika kristo.......labda hapo ujamwelewe.

Mahakama ya kadhi ni issue kwa (RC) Kama itaingizwa kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Pili ametimiza wajibu wake kama Paroko kuwaelimisha waamini wa parokia yake....hilo ni agizo kutoka kwa viongozi wake.
RC hawaipingi katiba, wanaona hii pendekezwa haina maskiko kwa watanzania walio wengi regardless ya dini zao, rangi zao na itikadi zao za kisiasa....waliomba mchakato uanze baada ya uchaguzi..
Ni hayo tu ndugu katika kristo.. sambaza upendo
 
mimi nakuunga mkono nakuongezea kua viongozi wa Dini wawe makini sanna na kuwashawishi waumuni ktk dini zote kuunga mokono au kakataa kuunaga ukono katiba mpya kwa sababu tu kua itakua ime pendelea dini au imani ambayo ipo tofauti na mfumo wao wakidini japo kua ina manufaa kwa jamii nahili ndio tatizo kubwa kwa viongozi wa dini zetu. vingozi kueni makini kwa mfano ktki Katiba kutolewe pendekezo pendekezo kusema kua kina wanawake wasionekane kuvaa nguo fupi au vimini basi viongozi wetu wanweza kulikataa hilo kwa sababu tu lina endana na amri ya dini Fulani na kiongozi ata wakataza wafuasi wake wasikubali. hili ndio tatizo la viongozi. mimi ushauri wangu wananch wote wasikubaline na viongo wa aina hii
 
Maaskofu waacheni wananchi waamue wenyewe kama kukataa waikatae bila ya shinikizo kutoka sehemu yeyote a nanyi mnatumiwa na mataifa ya nje yenye nia o na Tanzania yetu.
 
Mleta mada:
- je, ni haki kuwaelimisha wananchi?
- kama ni haki, hiyo elimu inahusu nini?
- nani anajukumu la kuelimisha?
- nani ana jukumu la kampeni kama si wadau?
 
Ametimiza wajibu wake wa kikatiba na kidini. Kazi ya kiongozi wa dinn ni kukuonya. Ukitaka fuata au usifuate. Maumivu yakija wala usilalamike.

Well, wakati mwingine watu walofumbwa macho kwa ukereketwa wa vyama..... Kwao damu ya ukereketwa wa siasa ni mzito kuliko damu ya imani!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo Tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa Ramani Katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.Lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya Yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.

You are single track minded; Paroko katimiza wajibu wa kuelimisha umma, katiba ya Chenge/Sitta hapana! Democracy of CCM, by Chenge/Sitta for the People HAPANA, Period
 
mimi nakuunga mkono nakuongezea kua viongozi wa Dini wawe makini sanna na kuwashawishi waumuni ktk dini zote kuunga mokono au kakataa kuunaga ukono katiba mpya kwa sababu tu kua itakua ime pendelea dini au imani ambayo ipo tofauti na mfumo wao wakidini japo kua ina manufaa kwa jamii nahili ndio tatizo kubwa kwa viongozi wa dini zetu. vingozi kueni makini kwa mfano ktki Katiba kutolewe pendekezo pendekezo kusema kua kina wanawake wasionekane kuvaa nguo fupi au vimini basi viongozi wetu wanweza kulikataa hilo kwa sababu tu lina endana na amri ya dini Fulani na kiongozi ata wakataza wafuasi wake wasikubali. hili ndio tatizo la viongozi. mimi ushauri wangu wananch wote wasikubaline na viongo wa aina hii

Naona c viongozi wa dini labda viongozi wa siasa ndiyo wanatakiwa kuwa makini...!
 
leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya pio, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa ramani katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.

huyo paroko badala ya kuwahubiria waumini wake injili ya yesu, yeye yuko bize kusoma waraka wa viongozi wachache wa dini, kwao hao ni miungu watu wao???
 
Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo Tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa Ramani Katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.Lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya Yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.

Kadrinali Pengo umesema vema na kauli yako imekuja wakati muafaka kwa taifa letu. Hongera napenda kurejea maneno yako sehemu ya mahubiri wakati wa kufungua mafungo ya Wanawake Wakatoliki Tanzania, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Alipokuwa akizungumzia matamko mawili, ya Jukwaa la Wakristu na la Baraza la Maaskofu Tanzania alisema "………hatuwezi kufikia hatua ya kusema nenda kapige kura ya hapana, hakuna mtu aliye na uwezo wa kumwambia mwingine akapige kura ya hapana, hakuna mwadadamu aliye na uwezo huo. Kama mungu mwenyewe hafanyi hivyo, mwanadamu anayapata wapi madaraka hayo…"
 
mimi nakuunga mkono nakuongezea kua viongozi wa Dini wawe makini sanna na kuwashawishi waumuni ktk dini zote kuunga mokono au kakataa kuunaga ukono katiba mpya kwa sababu tu kua itakua ime pendelea dini au imani ambayo ipo tofauti na mfumo wao wakidini japo kua ina manufaa kwa jamii nahili ndio tatizo kubwa kwa viongozi wa dini zetu. vingozi kueni makini kwa mfano ktki Katiba kutolewe pendekezo pendekezo kusema kua kina wanawake wasionekane kuvaa nguo fupi au vimini basi viongozi wetu wanweza kulikataa hilo kwa sababu tu lina endana na amri ya dini Fulani na kiongozi ata wakataza wafuasi wake wasikubali. hili ndio tatizo la viongozi. mimi ushauri wangu wananch wote wasikubaline na viongo wa aina hii

usiwe kama bendera fuata upepo!
 
ccm wanapowahamasisha wananchi wapie kura ya ndiyo mbona sijaona kauli yako? Au kupiga kura ya ndiyo ni sahihi ila kupiga kura ya haana ndo uchochezi? Kwa nini usiache democrasia ichukue mkondo wake? Democrasia ni pale mawazo mawili au zaidi yanapokuwa mezani na mwenye wazo akashawishi wazo lake likubaliwe. Hiyo ndo democracy sasa sijui wewe umekuwaje. Inawezekana umeguswa na tangazo la paroko. Utakuwa ccm tu wewe.

hapa hakuna mambo ya ccm wala ukawa, ni taifa kwanza. Elewa kijana
 
CCM wanapowahamasisha wananchi wapie kura ya NDIYO mbona sijaona kauli yako? Au kupiga kura ya ndiyo ni sahihi ila kupiga kura ya HAANA ndo uchochezi? Kwa nini usiache democrasia ichukue mkondo wake? Democrasia ni pale mawazo mawili au zaidi yanapokuwa mezani na mwenye wazo akashawishi wazo lake likubaliwe. Hiyo ndo democracy sasa sijui wewe umekuwaje. Inawezekana umeguswa na Tangazo la Paroko. Utakuwa CCM tu wewe.

Wewe! wapi wewe? Kanisa, chama havina uhusiano wowote na Katiba ya nchi, nchi ni zaidi ya chama. wewe nami ni wananchi. Jenga nchi yako acha ushabiki.
 
Mungu ambariki huyo Paroko kwa kutimiza wajibu wake bila kuogopa macho ya watawala

Huna sababu ya kumpongeza Paroko huyo, wakala huyo anabomoa nchi yake na kusahau jukumu lake la msingi. "Baba uwasamehe maana hawajui watendalo!" Jukumu lao la msingi ni kuchunga kondoo wa Mungu sio kufanya kazi za siasa kanisani.
 
Mungu ambariki huyo Paroko kwa kutimiza wajibu wake bila kuogopa macho ya watawala

Usipokuwa makini huyo Paroko uliyempongeza anaweza kukupeleka Jahanamu na kukukana mbele ya Mungu kuwa hakukwambia lolote, tumia akili yako katika suala hili muhimu coz utakosa haki yako ya kikatiba.
 
Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la kwanza alililoltoa lilikuwa la katiba inayopendekezwa.


Baba paroko alitusomea waraka wa maaskofu wa jukwaa la wakristo Tanzania wote kama walivyoutoa maaskofu hivi karibuni, baba paroko alitusisitizia twende tukajiandikishe vilivyo kwenya daftari la wapiga kura na lakini siku ya mwisho tupige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa moja ya madai aliyotoa ni katiba hiyo itawanufaisha baadhi ya wanasiasa na haina mashiko kwa watanzani.


Pia alisema alitwambia kuna jambo linguine tutambiwa iwapo katiba pendekezi itapita na pamoja na ishuu ya mahakama ya kadhi ikiwa ndani yake tutaambiwa nini cha kufanya.
Kwa kweli pamoja name nikiwa ni muumini wa kikristo wa Ramani Katolic lakini sikupendezewa na tangazo hilo lilionyesha dhahiri viongozi wetu hawa wamegeuka kuwa mawakala wa siasa badala ya kutoa huduma ya kiroho kwa mujibu bwana mungu wetu.Lakini lingine nikawa najiuliza kuna jambo gani nyeti la ambalo tutaambiwa baadaye ikiwa mahakama ya kadhi itaingizwa katika katiba pendekezwa, kuna jambo gani nyuma ya pazia ambalo hatulijui sisi waumini wao?


Napenda kuwasihi viongozi wetu wa dini huu wanaoufanya ni uchochezi na dhambi kwa mungu , ndio maana maisha yao hayafanani kabisa na bwana yesu kristo, wamekuwa wakiishi kifahari kuliko wafuasi ya Yesu wa awali.


Wamekuwa wanapondana kila leo na kutukanana kwa ajili ya kutugombania sisi waumini ambao wametufanya wajinga kiasi ambacho hatuwezi kujiamulia mambo yetu katika jamii na wamekuwa na wakituamulia mambo ambayo si ya kiimani kwa ridhaa yao.


Tafadhali viongozi wa dini acheni demokrasia ichukue mkondo wake badala na mchezo mchafu mnaoufanya wa kubaka demokrasi.

ndugu, kwa taarifa yako roho inakaa ndani ya mwili. Na kanisa linayatazama yote mawili (ROHO NA MWILI). tutakaporuhusu vitu vya hovyo vya kuja kudhuru miili yetu kwa kuogopa kusema basi hiyo itakuwa dhambi kubwa zaidi. Acha kuwahukumu viongozi wa dini
 
Matatizo haya yote yameletwa na wanasiasa kwa kuendekeza kwao uroho wa madaraka......wanasiasa wanapokuwa wanapigania uheshimiwa huwa wanatumia makalio yao kufikiri badala ya vichwa vyao hivyo kupelekea kuropoka kauli ambazo sijui kama wanajua madhara yake au wanafanya makusudi.......ninachopenda kuwakumbusha wanasiasa ni kwamba yatakapo tokea machafuko hapa nchini wao kamwe hawatabaki salama na laana ya uchochezi itawatafuna mpaka ukucha wao popote watakapo kimbilia kwenye ulimwengu........vilio vya vya uchungu vya mateso watakayopata raia wasio na hatia kutokana na kauli zao za kichochezi hazitawaacha waishi kwa amani popote walipo kwenye pembe ya dunia hii......damu za watu wasio na hatia zitakazo mwagika mwenyezi MUNGU mwenye upendo hataziacha ziende bure ardhini....laana zitawaandama vizazi vyenu vyote.........
 
Back
Top Bottom