mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Nitoe wito kwa wamiliki wa vituo vya redio na luninga kuwa watuondolee mbali hao wachambuzi wa soka uchwara.
Kuna wachezaji kibao wa zamani ambao wangetuchambulia soka kwa kutumia weledi na Siyo ushabiki. Wapo kina Sunday Manara, Zamoyoni Mogela, Boniface Mkwasa na watu wa aina Yao waliowahi kucheza soka katika kiwango Cha juu. Hao ndio wangetufaa, wanatukosea Sana kutuwekea kina Geoff Leah nk!!
Jifunzeni kwa Tv na redio za huko majuu. Hakuna mchambuzi/Commentator ambaye hajawahi kucheza mpira katika kiwango Cha juu au kuwa kocha katika kiwango Cha juu!! Huwezi ukachambua soka kwa weledi Kama hujawahi kufundishwa soka na kucheza katika ngazi za juu!!!
Kuna wachezaji kibao wa zamani ambao wangetuchambulia soka kwa kutumia weledi na Siyo ushabiki. Wapo kina Sunday Manara, Zamoyoni Mogela, Boniface Mkwasa na watu wa aina Yao waliowahi kucheza soka katika kiwango Cha juu. Hao ndio wangetufaa, wanatukosea Sana kutuwekea kina Geoff Leah nk!!
Jifunzeni kwa Tv na redio za huko majuu. Hakuna mchambuzi/Commentator ambaye hajawahi kucheza mpira katika kiwango Cha juu au kuwa kocha katika kiwango Cha juu!! Huwezi ukachambua soka kwa weledi Kama hujawahi kufundishwa soka na kucheza katika ngazi za juu!!!