Tuseme ukweli na tuache unafiki Zahera timu imemshinda. Wengi watajivunia kumtoa Township Rollers lakini aina ya mpira tulioucheza ulikuwa mbovu sana ni bahati ilitokea na bahati huwa haijirudii mara mbili .
Pia najiuliza anataka apewe muda gani ili timu ifunge magori sasa kazi yake kama kocha ni nini. Kama pamba anamsumbua je ataziweza Azam, Mtibwa nk
Tumeanza na kichapo kwa ruvu shooting basi kuna vingine vinakuja vizito tukianza na Zesco, mbeya city, na prisons.
Nawaambia huyu jamaa kama hamjamfahamu hakosi sababu atakuja na sababu kibao mtaniambia muda utasema na viongozi mnamnyamaza
Ninaomba uzi huu baada ya Mechi hizo utumike kama rejea.
Pia najiuliza anataka apewe muda gani ili timu ifunge magori sasa kazi yake kama kocha ni nini. Kama pamba anamsumbua je ataziweza Azam, Mtibwa nk
Tumeanza na kichapo kwa ruvu shooting basi kuna vingine vinakuja vizito tukianza na Zesco, mbeya city, na prisons.
Nawaambia huyu jamaa kama hamjamfahamu hakosi sababu atakuja na sababu kibao mtaniambia muda utasema na viongozi mnamnyamaza
Ninaomba uzi huu baada ya Mechi hizo utumike kama rejea.