Chondechonde ageni mkienda loliondo!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Naomba kwa atakayeguswa na hili anisamehe nimelileta hapa kwa manufaa ya umma!
Taarifa ya tiba ya babu imeleta tatizo lingine kwenye mahusiano .Baada ya couples kadhaa kudanganya kuwa wanaenda safari za kazi kumbe wanaenda kwa Babu .matokeo yake wenza wao walipogundua ndoa /mahusiano yameingia matatizo .Kama unaamini tiba ya babu na mwenzio haamini ,muelimisha aelewe na uende kwa amani .hii kudanganya na baadaye mwenzio anagundua ni hatari kwa penzi lenu.
 
ndo hayo ya daktari na mgonjwa wanakutana foleni kwa babu.
 

Watajijua nani kawambia wamsingizie babu.
 
Kwa babu wandugu muhimu kuhudhuria iwe kwa kudanganya au kwa kwenda wote
 
Poor communication skills inaua sana ndoa nyingi za kibongo
 
wawe wanaaga, imagine kila siku kwenye mstari wafariki watu 15.. Wawe wanaaga!
 
Heri hili waliowadanganya mabos na kukutana nao live kwa babu?

Na walioaga wanasafiri kikazi halafu mke na mume wanakutana kwenye foleni? Kila mtu he hapa ndo Dodoma? He hapa ndo Mwanza?? Kweli watu waage tu kwa amani. Kwani huo ugonjea unaokwenda kutibiwa mke/mume haujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…