BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Mkuu ubarikiwe sana Tena sana kabisaaa.UJENGEWE SANAMU KUBWAAAAAAA NA UANZISHE NGO [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
View attachment 2340758
Ishu sio single mother ni mazingira Kwa mtoto ambaye hana makosa.Akikutegeshea mimba, mgeuze single maza tuu.
Kutegeshewa kupo kabisa ni jambo la mwanamke kuamua tu.Hakuna cha kutegeshewa. Utakuwa umetaka tu. Tumia Kondom au chomoa ukiona unakaribia kumwaga.
Ni kwa mwanamme kukosa uelewa tu maana mwanamme habakwi.Kutegeshewa kupo kabisa ni jambo la mwanamke kuamua tu.
Wengine wakishajua unakaribia atakukaba na mikono yote miwilii huchomokiiii (mwanaume usicheze na hisia za mwanamkee)Hakuna cha kutegeshewa. Utakuwa umetaka tu. Tumia Kondom au chomoa ukiona unakaribia kumwaga.
Sio uelewa tu mkuu Kuna Hadi ushirikina unatumikaNi kwa mwanamme kukosa uelewa tu maana mwanamme habakwi.
Ushirikina au mapenzi ndindi tu? Haaa.. nilogwe mie nitegeshwe mimba.Sio uelewa tu mkuu Kuna Hadi ushirikina unatumika
Aaahh.. mambo ni mengi mda mchache.Wengine wakishajua unakaribia atakukaba na mikono yote miwilii huchomokiiii (mwanaume usicheze na hisia za mwanamkee)
mwenye maamuzi ya mwisho ya kuvua kyupi dyudyuu aingie ni mwanamkee (tuache zile za kubakwa)
Ni hatari sana Kwa ufupi ni ukatili uliokosa punje ya hurumaWengine wakishajua unakaribia atakukaba na mikono yote miwilii huchomokiiii (mwanaume usicheze na hisia za mwanamkee)
mwenye maamuzi ya mwisho ya kuvua kyupi dyudyuu aingie ni mwanamkee (tuache zile za kubakwa)
Hiyo inaitwa by any means lazima unaswe tu.. unaweza kuchezewa tricks ili lengo litimie.Ushirikina au mapenzi ndindi tu? Haaa.. nilogwe mie nitegeshwe mimba.
Haahh Kuna raha ya kutoa mbegu wewe. Kilele cha mlima cha juu mawinguni kabisa.Si ufanye Vesectomy?Hata akutegeshee vipi kamwe hatopata mimba.
Huu ni ukatili wa kiwango cha juu kabisa dhidi ya wanaume.
Kilele atafika kama kawaida na manii atatoa. Sema kinachopungua ni uwepo wa spermatozoïdes tu.Mshindo upo palepaleHaahh Kuna raha ya kutoa mbegu wewe. Kilele cha mlima cha juu mawinguni kabisa.