Chondechonde usitegeshe Mimba kimakusudi kwa maslahi yako binafsi

Wengine wakishajua unakaribia atakukaba na mikono yote miwilii huchomokiiii (mwanaume usicheze na hisia za mwanamkee)

mwenye maamuzi ya mwisho ya kuvua kyupi dyudyuu aingie ni mwanamkee (tuache zile za kubakwa)
Kumbe mnajua kuwa mnatukabaga ili tushindwe kumwagia nje🤣🤣🤣🤣
 
Hivi mwanaume unapomwagia ndani unategemea nini? Yaote mahindi au?
Lengo linakuwa starehe sio kupata mtoto kama upo kwenye hatari ya kupata mimba ni vyema kumtaarifu mwenzako afanye at his own risk
 
Tatizo utamu ukiwakolea hata nguvu za kujinasua zinapotea na mwanzo ulisema mwenyewe utamwaga nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…