Chongolo awasili Geita kuzindua vitega uchumi vya CCM

Chongolo awasili Geita kuzindua vitega uchumi vya CCM

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo leo tarehe 15 Mei, 2023 amewasili wilayani Bukombe mkoa wa Geita kwa ziara ya siku moja na kuzindua majengo mbalimbali ya Chama Cha Mapinduzi ikiwemo ukumbi wa mikutano, nyumba ya kupumzika wageni (Rest House) na mgahawa (Restaurant).

Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Oganaizesheni Issa Ussi Gavu.

IMG-20230515-WA0012.jpg
IMG-20230515-WA0010.jpg
IMG-20230515-WA0011.jpg
IMG-20230515-WA0005.jpg
IMG-20230515-WA0006.jpg
IMG-20230515-WA0007.jpg
IMG-20230515-WA0008.jpg
IMG-20230515-WA0009.jpg
 

Attachments

  • IMG-20230515-WA0004.jpg
    IMG-20230515-WA0004.jpg
    81.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom