Pre GE2025 Chongolo awavuruga vigogo CCM asema sijaja kutangaza nia yoyote

Pre GE2025 Chongolo awavuruga vigogo CCM asema sijaja kutangaza nia yoyote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu katika nafasi za Udiwani na Ubunge unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani 2025 likiendelea kupanda, imeelezwa kuwa baadhi ya wanasiasa waliopo madarakani wameanza kupata shida kwenye maeneo yao kutokana na vigogo waliowahi kushika nafasi mbalimbali na wengine ambao bado wapo madarakani kuonekana kwenye majimbo ya uchaguzi hali inayopelekea wadau wa siasa kuamini kuwa kuonekana kwao ni kutokana na sababu ya kuhitaji nafasi za Ubunge.

Miongoni mwa viongozi wandamizi wanaotajwa kwa ukaribu ni pamoja na Mkuu wa mkoa wa Songwe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi @ccmtanzania Daniel Chongolo aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM Taifa kuonekana kwa ukaribu mkoani Njombe na sababu kubwa ikitajwa ni kutokana na nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Makambako ili kumng'oa kigogo wa muda mrefu Deo Sanga maarufu kwa jina la (Jah People) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo wa Njombe.

"Sina dhamira ya kuja hapa kutangaza nia yoyote, kwa sababu nimealikwa kwa dhamana ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wanaotaka tushirikiane kwenye maombi tushirikiane," amesema Chongolo

 
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu katika nafasi za Udiwani na Ubunge unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani 2025 likiendelea kupanda, imeelezwa kuwa baadhi ya wanasiasa waliopo madarakani wameanza kupata shida kwenye maeneo yao kutokana na vigogo waliowahi kushika nafasi mbalimbali na wengine ambao bado wapo madarakani kuonekana kwenye majimbo ya uchaguzi hali inayopelekea wadau wa siasa kuamini kuwa kuonekana kwao ni kutokana na sababu ya kuhitaji nafasi za Ubunge.

Miongoni mwa viongozi wandamizi wanaotajwa kwa ukaribu ni pamoja na Mkuu wa mkoa wa Songwe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi @ccmtanzania Daniel Chongolo aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM Taifa kuonekana kwa ukaribu mkoani Njombe na sababu kubwa ikitajwa ni kutokana na nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Makambako ili kumng'oa kigogo wa muda mrefu Deo Sanga maarufu kwa jina la (Jah People) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo wa Njombe.

"Sina dhamira ya kuja hapa kutangaza nia yoyote, kwa sababu nimealikwa kwa dhamana ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wanaotaka tushirikiane kwenye maombi tushirikiane," amesema Chongolo
Mpasuko CCM, watamuuwa mtoto huyu
 
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu katika nafasi za Udiwani na Ubunge unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani 2025 likiendelea kupanda, imeelezwa kuwa baadhi ya wanasiasa waliopo madarakani wameanza kupata shida kwenye maeneo yao kutokana na vigogo waliowahi kushika nafasi mbalimbali na wengine ambao bado wapo madarakani kuonekana kwenye majimbo ya uchaguzi hali inayopelekea wadau wa siasa kuamini kuwa kuonekana kwao ni kutokana na sababu ya kuhitaji nafasi za Ubunge.

Miongoni mwa viongozi wandamizi wanaotajwa kwa ukaribu ni pamoja na Mkuu wa mkoa wa Songwe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi @ccmtanzania Daniel Chongolo aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM Taifa kuonekana kwa ukaribu mkoani Njombe na sababu kubwa ikitajwa ni kutokana na nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Makambako ili kumng'oa kigogo wa muda mrefu Deo Sanga maarufu kwa jina la (Jah People) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo wa Njombe.

"Sina dhamira ya kuja hapa kutangaza nia yoyote, kwa sababu nimealikwa kwa dhamana ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wanaotaka tushirikiane kwenye maombi tushirikiane," amesema Chongolo

Kimeumana huko😀😀😀
 
Chongolo analitaka Jimbo la Njombe ,sio makambako

Aliniambia atagombea happ
 
Back
Top Bottom