CHOO CHA KIKE DIPLOMA in TELECOMMUNICATION?

CHOO CHA KIKE DIPLOMA in TELECOMMUNICATION?

Adryyboy

Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
6
Reaction score
1
Mi nmehtm Form4 2011, matokeo yalikua mazur ningeweza kuchaguliwa special school yoyote, but nlichagua dit TEL. kama 1st choice na ndiko nlikopangiwa. Problm ni kwamba wa2 wanasema nlifanya chaguo si sahihi coz elim ya form6 ni must nmeingia choo cha kike bora ningeenda A lvl.!! Wameniambia kua cheti cha form6 ni moja ya cv muhimu ya kupata ajra apo mbele. Naombeni ushauri wenu kk & dd zangu, kichwa kinauma cjui nifanye nini!!!!...
 
Choo cha Kike?? Kwani cha kiumbe kikoje.. Usemi wako si wa Busara hata kidogo..

Semi hizi zinadhalilisha watu Wa jinsi a tofauti Na mtanzania.. Usipende kuweka maneno ya kijiweni Na kihuni kwenye jamii inayokuzunguka ..

Sahihisha Kichwa cha habari yako Na maelezo kijana
 
kaka usisikilize ya watu kasome siku hizi waajiri hawaangalii vyeti bali uwezo kwani unaweza kuwa na vyeti mia bila kusoma.
 
Sorry bro. Ckua na maana ya hiyo but nlitaka kumaanisha kua nmpita wrong way. Ntabadiri kichwa kaka.
 
Iko bomba tu, maana utakuwa na profession cum academic.Chuo kikuu utasoma na ajira utapata tu.
 
knowledge ya ku solve problems ndiyo ya msingi,sio lundo la mavyeti.hakuna ukweli na kama kuna wanaofanya hivyo ni uelewa mdogo,piga kitabu kwa bidii tu kazi zinazohusiana na technolojia zipo na firsa ya kujiajiri ni kubwa.
 
Nenda kasome,achana na maneno ya kukatisha tamaa.
Kwanza pale unaenda kusomea "profession" na unaipata ndani ya miaka 3 na unaweza ukaiendeleza mpaka ukawa dr(kama ukipenda)!
Form6 yeye atakuwa na"profession"ndani ya kipindi kisichopungua miaka 6,Ukijumlisha miaka 2 ya a level+miaka 4 ya engineering kozi(kama ataweza kuhimili mikikimikiki)
 
Kasome kijana acha kusikiliza maneno ya watu
 
Mi nmehtm Form4 2011, matokeo yalikua mazur ningeweza kuchaguliwa special school yoyote, but nlichagua dit TEL. kama 1st choice na ndiko nlikopangiwa. Problm ni kwamba wa2 wanasema nlifanya chaguo si sahihi coz elim ya form6 ni must nmeingia choo cha kike bora ningeenda A lvl.!! Wameniambia kua cheti cha form6 ni moja ya cv muhimu ya kupata ajra apo mbele. Naombeni ushauri wenu kk & dd zangu, kichwa kinauma cjui nifanye nini!!!!...

Mtu asikudanganye mdogo wangu hiyo ni njia sahihi kabisa ni rahisi zaidi kufanikiwa kuliko A level mm nimemaliza sec, 1988 nikapata 2 O level nikachaguliwa kuchukua CCD pale moshi coop college, leo nimemaliza MBA na niliweza kupatakazi kwanza kabla ya wenzangu wa A level, endelea hivyo ndugu yangu, Mungu amempangia kila mtu nanjia yake.
 
Back
Top Bottom