aagghhhrrr.!!!! nilijua choo "Kishundu/Msambwanda" nikaja fasta kumbe mnatuonyesha mavi halafu muda huu mimi nakula wali na dengu mmtthuuu.! nimeahirisha kula kabisa,
Maelezo: Wakati mtu akitumia dozi ya malaria Kwinini
Hebu na wewe tuonyeshe chako ulichotoa baada ya kubugia makandeDaah yaani umeamua kutuonyesha mubashara kabisa
Eeh na wewe babu ndo nini umenirudisha huku. Mi choo changu cha 'kurenga' siwezi kupiga picha labda nikajisaidie kichakani ndo nipigeHebu na wewe tuonyeshe chako ulichotoa baada ya kubugia makande
KhaaMeza plasta ujizibe huko ndichi.
Khaaaa!!Eeh na wewe babu ndo nini umenirudisha huku. Mi choo changu cha 'kurenga' siwezi kupiga picha labda nikajisaidie kichakani ndo nipige
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Khaaaa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Leo wapenda pic wamekomeshwa wapite hku lol nimecheka jpo havichekeshi jmn!!Eeeeh si mnsemaga story bila picha ainogi eeeh safi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hvi mkuu upo serious kabsa sema kama unatania!Noted madam. Can i stop this dose?
Mpuuzi ww umenifanya nivheke kwa sauti..aagghhhrrr.!!!! nilijua choo "Kishundu/Msambwanda" nikaja fasta kumbe mnatuonyesha mavi halafu muda huu mimi nakula wali na dengu mmtthuuu.! nimeahirisha kula kabisa,
ila ngoja nikomenti kabisa kabla sijaondoka, ukiona mavi yako hivyo jua huyo aliyekunya kwisha habari yake namaanisha keshakufa tayari hivyo njoo fasta nikuuzie jeneza na sanda ili akianguka tu msije kuhangaika.!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii thread yngu ya week mana nimecheka balaa lol wapenda pic tumekuja kwa speed!!!Mpuuzi ww umenifanya nivheke kwa sauti..
Hakyanan jf kunavituko sana..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii thread yngu ya week mana nimecheka balaa lol wapenda pic tumekuja kwa speed!!!
Mkuu ongeza pivha nyingine hii haionekani vzr..
Maelezo: Wakati mtu akitumia dozi ya malaria Kwinini