Choo kikiwa hivi kinaashiria nini kwa binadamu?

Acha ujinga wewe badala ya kwenda hospitali unakimbilia kupost.....Ama kweli hii mitandao imeharibu watu.
 
Nashukuru mkuu. Kuna watu huwa hawaelewi namna ya kusaidiana. Wengine wanatukana pasipo kujua hili ni jukwaa la kidaktari ambapo kwa kuona unaweza kujua mwenzio ana shida gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…